BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s72-c/Picha+3.jpg)
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyenyoosha mikono) akitoa taarifa kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam wakati alipokutana na Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Eng. Gerson Lwenge na anayefuata ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Peter Serukamba na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s72-c/John-Magufuli.jpg)
Trilioni Moja kutumika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s1600/John-Magufuli.jpg)
SERIKALI imedhamiria kupunguza msongamano wa magari ndani ya jiji la Dar es Salaam kwakujenga barabara sita zitakazo ambazo ujenzi wake utasimamiwa na TANROADS. Ujenzi huo unatarajiwa kugharimu sh. trilioni moja ambapo lengo barabara hizo ni kupunguza adha ya msongamano wa magari katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es saalam.
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s72-c/0L7C2170.jpg)
JK ataja hatua saba za kupunguza msongamano wa magari Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s1600/0L7C2170.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-VEC3ANRMHGQ/VJEcBMl2zlI/AAAAAAACUb0/Soxa7zvYsZo/s72-c/Photo%2Bno%2B2.jpg)
BARABARA ZA JIJINI DAR KUENDELEA KUIMARISHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VEC3ANRMHGQ/VJEcBMl2zlI/AAAAAAACUb0/Soxa7zvYsZo/s1600/Photo%2Bno%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-92yksaoWPkU/VJEcBzDl1fI/AAAAAAACUb4/Td-Ae-zOgRI/s640/Photo%2Bno%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DFEBT_9g0mQ/VJEcH2ZIR2I/AAAAAAACUcE/XBpfrxTpQBM/s640/Photo%2Bna%2B7.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 May
Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara
Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.
Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...
11 years ago
GPLMAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA
10 years ago
Habarileo06 Sep
Barabara zaidi za lami kujengwa kuokoa muda, fedha
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali itaendelea na jitihada za ujenzi wa barabara za lami, kupanua shughuli za kiuchumi na kuendeleza dhana ya maisha bora kwa kila Mtanzania.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Chanzo cha msongamano wa magari Dar chaelezwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7_nGxaaIjTU/U6hF5sZh5lI/AAAAAAAFsaQ/OHu4QdSzcAI/s72-c/foleni+pix.jpg)
Utaratibu mpya kudhibiti msongamano wa magari Dar njiani kutangazwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7_nGxaaIjTU/U6hF5sZh5lI/AAAAAAAFsaQ/OHu4QdSzcAI/s1600/foleni+pix.jpg)