‘Soko la mahindi lipo DRC, Sudan Kusini’
Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Yamungu Kayandabila amewataka wafanyabiashara kuchangamkia soko la mahindi na mchele katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sudan Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Tani 7,400 za mahindi zakosa soko
Zaidi ya tani 7,400 za zao la mahindi zilizozalishwa na wakulima wadogo wa kata za Galapo na Qash wilayani Babati mkoani Manyara zimekosa soko na kurundikwa katika Soko la Galapo, eneo ambalo zinaweza kuharibika wakati wowote.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_8DjDJ8S8xE/VBrFhwt3ttI/AAAAAAAGkOk/WvmclUQgaCA/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjfzYTdEsHw/VBrFjYlZZfI/AAAAAAAGkOw/3LmtvHtCysg/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Wakaazi wa Kivu Kusini, DRC wagoma
Wakazi wa mji wa Baraka, kusini mwa jimbo la kivu, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo,wameingia siku ya pili ya mgomo baridi,
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
11 years ago
Habarileo18 Dec
Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CGWwFxEqLd7gX4643x-Hp-OMwOUHhjcXHzTlXRRH25e6Gw-*9qfgCq0jwFpkdb0KoTLoEpc6WbvawWFsPFes14X3E5u8bV23/sp4.jpg?width=750)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania