Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Mar
Watu 174 walipwa fidia Mwandiga
ASILIMIA 80 ya wananchi 218 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wamelipwa fidia mpaka sasa ili kupisha ujenzi wa Kituo cha Usafirishaji cha Mwandiga.
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Walipwa fidia ya mil 263/- kupisha ujenzi wa chuo
Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Singida, Hassanal Issaya akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kila siku.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO cha utumishi wa umma Tanzania tawi la mkoa wa Singida,limetumia shilingi 263 milioni kulipa fidia kwa wakazi wa kijiji cha Sasu kata ya Mungumaji manispaa ya Singida,ili waweze kupisha ujenzi wa chuo hicho mwaka wa fedha ujao.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa chuo hicho, Hassanal Issaya, wakati akizungumza na MOblog...
11 years ago
MichuziASKARI POLISI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA GARI WAAGWA LEO MKOANI DODOMA TAYALI KWA MAZISHI
Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao.
Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kujitokeza za namna hii.
11 years ago
Habarileo03 Aug
`Serikali haijatelekeza askari waliopigana DRC’
SERIKALI imesema hakuna askari wake halali, aliyepelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) au nchi nyingine yoyote, kushiriki operesheni ya kivita na mapigano bila kufuata taratibu.
5 years ago
BBCSwahili20 May
Sudan imetakiwa kuwalipa fidia walioathiriwa na mlipuko wa ugaidi katika balozi za Marekani Tanzania na Kenya
10 years ago
Mwananchi09 Dec
‘Soko la mahindi lipo DRC, Sudan Kusini’
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Askari Sudan wadaiwa kuua na kubaka raia
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-
SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...
10 years ago
Habarileo22 Jan
TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.