`Serikali haijatelekeza askari waliopigana DRC’
SERIKALI imesema hakuna askari wake halali, aliyepelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) au nchi nyingine yoyote, kushiriki operesheni ya kivita na mapigano bila kufuata taratibu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Dec
Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
11 years ago
Habarileo24 Jul
Moravian waliopigana hadharani wadhaminiwa
WAUMINI 29 wa Kanisa la Moravian Kinondoni, wanaokabiliwa na kesi ya kupigana hadharani walipatiwa dhamana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tuwakumbuke walemavu waliopigana vita ya Kagera
IKIWA mwaka huu inatimia miaka 35 tangu kumalizika vita ya Kagera, baadhi ya wanajeshi waliopigana vita hiyo na kupata ulemavu wanadai serikali imewatelekeza. Vita hiyo iliyopiganwa mwaka 1978 hadi 1979...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
DRC:Familia zailaumu serikali kuwatelekeza
5 years ago
BBCSwahili26 May
Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
9 years ago
StarTV23 Dec
Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani Â
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.
Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.
Wengine ni Frank...