Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


`Serikali haijatelekeza askari waliopigana DRC’

SERIKALI imesema hakuna askari wake halali, aliyepelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) au nchi nyingine yoyote, kushiriki operesheni ya kivita na mapigano bila kufuata taratibu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia

WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 

11 years ago

Habarileo

Moravian waliopigana hadharani wadhaminiwa

WAUMINI 29 wa Kanisa la Moravian Kinondoni, wanaokabiliwa na kesi ya kupigana hadharani walipatiwa dhamana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC

Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwakumbuke walemavu waliopigana vita ya Kagera

IKIWA mwaka huu inatimia miaka 35 tangu kumalizika vita ya Kagera, baadhi ya wanajeshi waliopigana vita hiyo na kupata ulemavu wanadai serikali imewatelekeza. Vita hiyo iliyopiganwa mwaka 1978 hadi 1979...

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC

Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Familia zailaumu serikali kuwatelekeza

Waathirika wa mafuriko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanailaumu serikali kwa kuwatelekeza

 

5 years ago

BBCSwahili

Iran yawakamata waliopigana busu juu ya nyumba

Video iliyochapishwa kwenye mtandao wa Instagram haiambatani na ‘maadili ya Kiislam’.

 

5 years ago

Global Publishers

Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC

w1

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

w2

Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
1 2

 

 

9 years ago

StarTV

Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani  

 

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.

Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.

Wengine ni Frank...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani