Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
11 years ago
BBCSwahili08 May
Serikali ya Nigeria yakana kujikokota
Serikali ya Nigeria imejitetea vikali kuhusiana na shutma za kushindwa kukabiliana na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram huku wakisema kuwa wamo vitani.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
A Kusini:Serikali yakana kumtorosha Bashir
Serikali ya Afrika Kusini imekana ripoti kwamba mawaziri wake walipanga njama ya kumtorosha rais wa Sudan Omar El Bashir wiki iliopita.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K
Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini amepuuzilia mbali tahadhari zilizotolewa kuwa taifa hilo changa limo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge
Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong
Wanafunzi wanaoongoza mgomo kwa zaidi ya wiki tatu Hong Kong leo wanatarajiwa kukutana na uongozi wa serikali kwa majadiliano
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong
Wanaharakati wanaopigania demokrasia katika eneo la Hong Kong, wamesababishwa ofisi za serikali kufuingwa asubuhi ya leo kufuatia usiku wenye ghasia kwenye mitaa.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania