Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge
Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
MAFAO YA WABUNGE KUFURU… Milioni 160 kwa kazi gani?
INASADIKIWA kama inavyosadifu kutoka kwenye mabaraza ya nchi mbalimbali, kwamba baadhi ya wabunge (wawakilishi wa wananchi) wametawaliwa na ubinafsi, hususan panapokuwa na masilahi yanayowahusu. Imeshuhudiwa nchi jirani ya Kenya, wabunge...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s72-c/001-1.jpg)
SERIKALI KUTATUA SUALA LA WASTAAFU KUTOPATA MAFAO KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s640/001-1.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George Huruma Mkuchika (Mb) akitoa ahadi Bungeni ya kutatua changamoto ya ucheleweshwaji wa mafao ya wastaafu wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021.
………………………………………………………………..
James K. Mwanamyoto-Dodoma
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kukutana na Maafisa Utumishi wote nchini ili kuwakumbusha na...
11 years ago
BBCSwahili08 May
Serikali ya Nigeria yakana kujikokota
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
A Kusini:Serikali yakana kumtorosha Bashir
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Serikali isikilize kilio cha walimu kuhusu mafao
CHAMA cha Walimu Wilaya ya Ilala, kimelalamikia rasimu mpya ya mapendekezo ya kuimarisha mifuko ya hifadhi ya jamii iliyotolewa hivi karibuni na Wizara ya Kazi na Ajira ambayo imebadili mfumo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s72-c/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA YAKANA KUWEPO KWA RUSHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s640/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imewataka wananchi wenye malalamiko kuhusu vitendo vya rushwa mahakamani kutoa ushirikiano ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo.
Hayo yalisemwa katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Afisa Habari Mary Gwera wa Mahakama hiyo kufuatia gazeti moja la hapa nchini la Julai 21 mwaka huu kupitia makala yenye kichwa cha habari “Mtandao wa rushwa Mahakamani huu hapa” .
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, baada ya...