Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFAO YA WABUNGE KUFURU… Milioni 160 kwa kazi gani?

INASADIKIWA kama inavyosadifu kutoka kwenye mabaraza ya nchi mbalimbali, kwamba baadhi ya wabunge (wawakilishi wa wananchi) wametawaliwa na ubinafsi, hususan panapokuwa na masilahi yanayowahusu. Imeshuhudiwa nchi jirani ya Kenya, wabunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ubinafsi wa wabunge umezaa milioni 160/-

MOJA ya taarifa iliyonishtua ni ya wabunge kupata kiasi cha sh milioni 160 kila mmoja kama fao lililotengwa na Hazina tangu mwaka jana. Wabunge wamejiongezea asilimia 272 ya kiinua mgongo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge

Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Japan yachangia sh. milioni 160 shule ya msingi Kakuni

DSC_0144

Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada wa shilingi milioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

 *Waziri Mkuu aomba Watanzania wamuunge mkono

SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na sh. milioni...

 

10 years ago

GPL

JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI‏

Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada wa shilingi milioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam. Baadhi ya watendaji ofisi ya Waziri Mkuu waliohudhuria hafla hiyo fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada...

 

9 years ago

Mwananchi

DNA inapatikana wapi na ni kwa ajili ya kazi gani?

DNA hutumika katika sayansi ya viumbe hai katika kuchunguza taarifa mbalimbali za utendaji wa mwili, tabia na hata suala zima la uzazi.

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA TIGO WAJISHINDIA SHILINGI MILIONI 160 MSIMU WA MWAKA MPYA

Mratibu wa Promosheni za Tigo Pesa Mary Rutta akipiga simu kupata washindi watano wa shilingi milioni 10 katika droo ya pili ya promo ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ jana. Wengine 20 walijishindia milioni 20 kila mmoja na wengine 350 walijishindia laki 2 kila mmoja iliyofanya jumla ya shilingi milioni 160 kuzolewa. Katikati ni Meneja Bidhaa wa Tigo Husni Seif na Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo Tanzania Humudi...

 

9 years ago

Habarileo

Trafiki zaidi 160 Dar wabadilishwa kazi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewabadilisha kazi wakaguzi saba na askari wa vyeo mbalimbali 157 wa Kikosi cha Usalama Barabarani ambao utendaji kazi wao umeonekana kukosa tija.

 

10 years ago

Dewji Blog

CWT Singida yapinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu

jumbe

Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida Aran Jumbe, akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho kuhusiana na tamko la chama juu ya kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Chama cha Walimu CWT  kimetoa tamko la kupinga  rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200..

Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai. Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye thamani ya dola milioni 1 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 200. Saa hiyo aina ya Hublot ndio saa ghali zaidi duniani kwa sasa. […]

The post Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani