Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DNA inapatikana wapi na ni kwa ajili ya kazi gani?

DNA hutumika katika sayansi ya viumbe hai katika kuchunguza taarifa mbalimbali za utendaji wa mwili, tabia na hata suala zima la uzazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

Mwananchi

Rasilimali kwa ajili ya malengo endelevu ya maendeleo zinaweza kutoka wapi?

Kuanzia Januari ya mwaka 2016, dunia itaanza kutekeleza rasmi malengo endelevu ya maendeleo. Malengo haya yalipitishwa na Umoja wa Mataifa huko Marekani Septemba mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

NAFANYA KAZI KWA NGUVU KWA AJILI YA MWANANGU - WIZKID

Mwanamuziki maarufu  wa Nigeria, Wizkid. Lagos Nigeria
MWANAMUZIKI  mwimbaji maarufu  wa Nigeria, Wizkid, amesema hataki maisha ya anasa ya kutumia fedha ovyo, bali anataka kuonyesha upendokwa watu wake, jambo ambalo linamlazimu kufanya kazi kwa nguvu. Wizkid akiwa na mwanaye.
Pamoja na kwamba ana mpango wa kuanzisha taasisi ya kuwasaidia watu wenye matatizo, mwimbaji huyo amesema hakuna kitu chenye thamani zaidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MAFAO YA WABUNGE KUFURU… Milioni 160 kwa kazi gani?

INASADIKIWA kama inavyosadifu kutoka kwenye mabaraza ya nchi mbalimbali, kwamba baadhi ya wabunge (wawakilishi wa wananchi) wametawaliwa na ubinafsi, hususan panapokuwa na masilahi yanayowahusu. Imeshuhudiwa nchi jirani ya Kenya, wabunge...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

10 years ago

GPL

VODAFONE SMART KICKA INAPATIKANA KWA SH.79,999 KWA MADUKA YA VODACOM TU‏

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga (kushoto) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube, Twitter, Facebook na Whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliopokea posho wamefanya kazi gani?

HATUA ya wajumbe wa UKAWA kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ililaaniwa na watu wengi. Lakini wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameongoza katika mashambulizi kwa wajumbe hawa. Zimetolewa...

 

10 years ago

GPL

HIVI MKE WA SAMPULI HII WA KAZI GANI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nimeona nimzungumzie mwanamke ambaye hana sifa za kuendelea kuitwa mke, dawa yake ni kuachwa awe ‘nunga yembe’. Haridhiki na penzi lako
Wapo wanawake ambao wewe unaweza kujitahidi kumpatia mapenzi kadiri unavyoweza lakini yeye hatosheki. Anakuchukulia wewe ni dhaifu sana na wakati mwingine kuhisi yupo mwingine anayeweza kumpa zaidi ya kile unachompa, huyu ni tatizo. Ana wivu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani