Waliopokea posho wamefanya kazi gani?
HATUA ya wajumbe wa UKAWA kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ililaaniwa na watu wengi. Lakini wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameongoza katika mashambulizi kwa wajumbe hawa. Zimetolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNOcRwNB0zBE0mWwT0rSPMSX-5reo7S9pT2WCW4dWUOpC-tcQs73nQV2P6SVveUngFTN63fA45H5HOxoZjUegPtE/Loves.jpg)
HIVI MKE WA SAMPULI HII WA KAZI GANI?
9 years ago
Mwananchi30 Oct
DNA inapatikana wapi na ni kwa ajili ya kazi gani?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j0m-sXfT7jMyR2I0HIXkk8ZDRq3zwe2NcB9RTy9ApKFs2bveyAl-ZNTfxSQjfufD-d7WxwMzys2NAx5yOVKzuG*/condearchivecoupleinbedmain.jpg?width=650)
MPENZI WA KUPITIWA NA SHETANI KILA SIKU WA KAZI GANI?
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
MAFAO YA WABUNGE KUFURU… Milioni 160 kwa kazi gani?
INASADIKIWA kama inavyosadifu kutoka kwenye mabaraza ya nchi mbalimbali, kwamba baadhi ya wabunge (wawakilishi wa wananchi) wametawaliwa na ubinafsi, hususan panapokuwa na masilahi yanayowahusu. Imeshuhudiwa nchi jirani ya Kenya, wabunge...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s72-c/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s320/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.
Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...
5 years ago
MichuziWanawake katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano wamefanya vizuri –Katibu Tawala Makame
*Maafisa Rasilamali watakiwa kufuata sheria za upandishaji Vyeo
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Wanawake wengi waliopata nafasi wameonyesha uwezo wa kufanya vizuri hali ambayo imefanya kubaki katika nafasi zao ikilinganishwa na wanaume kwa kipindi cha miaka mitano.
Hayo aliysema Katibu wa Tawala Wilaya Ilala Jabir Makame katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chuo cha Biashara (CBE). Makame ambaye...