Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopokea posho wamefanya kazi gani?

HATUA ya wajumbe wa UKAWA kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ililaaniwa na watu wengi. Lakini wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameongoza katika mashambulizi kwa wajumbe hawa. Zimetolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HIVI MKE WA SAMPULI HII WA KAZI GANI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nimeona nimzungumzie mwanamke ambaye hana sifa za kuendelea kuitwa mke, dawa yake ni kuachwa awe ‘nunga yembe’. Haridhiki na penzi lako
Wapo wanawake ambao wewe unaweza kujitahidi kumpatia mapenzi kadiri unavyoweza lakini yeye hatosheki. Anakuchukulia wewe ni dhaifu sana na wakati mwingine kuhisi yupo mwingine anayeweza kumpa zaidi ya kile unachompa, huyu ni tatizo. Ana wivu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

DNA inapatikana wapi na ni kwa ajili ya kazi gani?

DNA hutumika katika sayansi ya viumbe hai katika kuchunguza taarifa mbalimbali za utendaji wa mwili, tabia na hata suala zima la uzazi.

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA KUPITIWA NA SHETANI KILA SIKU WA KAZI GANI?

Kila mmoja anafahamu umuhimu wa mapenzi katika maisha ya binadamu. Ndiyo maana kila siku watu wamekuwa wakihakikisha wanawapata wapenzi ambao watawaongezea furaha katika maisha yao. Ambao wameyakosa mapenzi ya dhati wameathirika sana kisaikolojia na kushindwa kutimiza majukumu yao ya kila siku ipasavyo huku wengine wakifikia hatua ya kukatisha maisha yao kwa kujiua. Hiyo yote inaonesha ni jinsi gani mapenzi yana nafasi katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MAFAO YA WABUNGE KUFURU… Milioni 160 kwa kazi gani?

INASADIKIWA kama inavyosadifu kutoka kwenye mabaraza ya nchi mbalimbali, kwamba baadhi ya wabunge (wawakilishi wa wananchi) wametawaliwa na ubinafsi, hususan panapokuwa na masilahi yanayowahusu. Imeshuhudiwa nchi jirani ya Kenya, wabunge...

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii

MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.

Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...

 

5 years ago

Michuzi

Wanawake katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano wamefanya vizuri –Katibu Tawala Makame

*THTU yataka wanawake kufanya kazi kwa umahiri pindi wanapopata nafasi

*Maafisa Rasilamali watakiwa kufuata sheria za upandishaji Vyeo

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii

Wanawake  wengi waliopata nafasi wameonyesha uwezo wa kufanya vizuri hali ambayo imefanya kubaki katika nafasi zao ikilinganishwa na wanaume kwa kipindi cha miaka mitano.

Hayo aliysema Katibu wa Tawala Wilaya Ilala Jabir Makame katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chuo cha Biashara (CBE). Makame ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani