Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI MKE WA SAMPULI HII WA KAZI GANI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nimeona nimzungumzie mwanamke ambaye hana sifa za kuendelea kuitwa mke, dawa yake ni kuachwa awe ‘nunga yembe’. Haridhiki na penzi lako
Wapo wanawake ambao wewe unaweza kujitahidi kumpatia mapenzi kadiri unavyoweza lakini yeye hatosheki. Anakuchukulia wewe ni dhaifu sana na wakati mwingine kuhisi yupo mwingine anayeweza kumpa zaidi ya kile unachompa, huyu ni tatizo. Ana wivu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TUOENI TU JAMANI ILA WANAMKE WA SAMPULI HII NI MAJANGA!

SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matatizo. Dhana hiyo haina mashiko kiviile, asikuambie mtu unapoingia kwenye ndoa na mtu anayekupenda na wewe unampenda kwa dhati, karaha hakuna licha ya kwamba kugombana kwa hapa na pale hakuwezi kukosekana. Hata...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Burudani Band — Mke Gani

Wimbo mpya wa Burudani Band unaitwa “Mke Gani “. Producer C9 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?

Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sita akisalimiana na rais Jakaya Mrisho Kikwete.
MWAKA huu unaingia katika historia ya nchi yetu moja kwa moja pasipo maswali. Tofauti na wakati mwingine, mwaka huu una uwezekano wa kupitisha matukio makubwa mawili, ambayo kwa namna yoyote, yanaweza kuharibu au kuimarisha taifa letu lenye umri wa miaka 50 tangu lipate uhuru wake. Tukio moja tumelizoea...

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE / MUME?-2

Bila shaka msomaji wangu unaendelea vizuri na majukumu yako. Ni wiki nyingine tunapokutana tena kwenye uwanja wetu huu. Wiki iliyopita tuliianza mada hii kama inavyojieleza hapo juu.Tuliangalia mfano wa jinsi mwanaume mmoja ambaye yupo ndani ya ndoa kwa kipindi cha miaka kumi lakini wazazi wake hawamtaki mkewe na badala yake wamemtafutia mwanamke mwingine ambaye ndiyo wanamtaka. Tulianza kuangalia namna ya kushughulikia tatizo...

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE/MUME?

Nianze kwa kumshukuru Jalali aliyenipa pumzi ya kuiona siku ya leo. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu, umzima buheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Wewe ambaye afya inaleta matatizo, nakuombea upone haraka. Je, upo kwenye uhusiano wa kimapenzi, unampenda sana mume, mke, mchumba au mpenzi uliyenaye lakini wazazi wako hawamkubali na matokeo yake wanakuchagulia mtu wa kuishi naye? Mada ya...

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?

NIMEWAHI kuzungumza mara kadhaa katika safu hii kuhusu huyu binti, mtoto wa nguli wa zamani wa soka Tanzania, Ezekiel Greyson ‘Jujuman’, aliyevuma sana akiwa na Simba. Anaitwa Aunt Ezekiel, staa wa filamu za Kibongo! Nilisema kuwa katika tasnia ya filamu, ni muigizaji mzuri kwa kupamba sinema kutokana na uzuri wa sura na umbo lake, lakini katika wasanii wanaotakiwa kwa weledi na viwango, bado ni mtu wa kati, ingawa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliopokea posho wamefanya kazi gani?

HATUA ya wajumbe wa UKAWA kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ililaaniwa na watu wengi. Lakini wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameongoza katika mashambulizi kwa wajumbe hawa. Zimetolewa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba litakuja na mpya gani safari hii?

Ile safari yetu tuliyoianza ya kuandika katiba mpya Tanzania inaingia sehemu ya pili ya Bunge Maalum la katiba baada ya awamu ya mwanzo kumalizika katika hali ambayo haikutarajiwa.

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA KUPITIWA NA SHETANI KILA SIKU WA KAZI GANI?

Kila mmoja anafahamu umuhimu wa mapenzi katika maisha ya binadamu. Ndiyo maana kila siku watu wamekuwa wakihakikisha wanawapata wapenzi ambao watawaongezea furaha katika maisha yao. Ambao wameyakosa mapenzi ya dhati wameathirika sana kisaikolojia na kushindwa kutimiza majukumu yao ya kila siku ipasavyo huku wengine wakifikia hatua ya kukatisha maisha yao kwa kujiua. Hiyo yote inaonesha ni jinsi gani mapenzi yana nafasi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani