Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE/MUME?

Nianze kwa kumshukuru Jalali aliyenipa pumzi ya kuiona siku ya leo. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu, umzima buheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Wewe ambaye afya inaleta matatizo, nakuombea upone haraka. Je, upo kwenye uhusiano wa kimapenzi, unampenda sana mume, mke, mchumba au mpenzi uliyenaye lakini wazazi wako hawamkubali na matokeo yake wanakuchagulia mtu wa kuishi naye? Mada ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE / MUME?-2

Bila shaka msomaji wangu unaendelea vizuri na majukumu yako. Ni wiki nyingine tunapokutana tena kwenye uwanja wetu huu. Wiki iliyopita tuliianza mada hii kama inavyojieleza hapo juu.Tuliangalia mfano wa jinsi mwanaume mmoja ambaye yupo ndani ya ndoa kwa kipindi cha miaka kumi lakini wazazi wake hawamtaki mkewe na badala yake wamemtafutia mwanamke mwingine ambaye ndiyo wanamtaka. Tulianza kuangalia namna ya kushughulikia tatizo...

 

11 years ago

Mwananchi

Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto

Katika maisha ya familia ndani ya jamii ni muhimu kwa mzazi kujenga utamaduni wa kumfunza watoto wako namna bora ya uvaaji.

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa

Kadinda

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.

Kadinda

Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.

“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWAONGOZA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI JIMBO LA MAHONDA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KUWASHUKURU WANA CCM

Mgombea Nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Jimbo la Mahonda kwa tiketi ya CCM Balozi Seif Ali Iddi kwa niaba ya wagombea wenzake wa nafasi mbali mbali akiwashukuru wanachama wa CCM wa Matawi yaliyomo ndani ya Jimbo hilo katika Mikutano tofauti kwa kuwachaguwa katika kura za Maoni zilizopita mwezi Agosti mwaka huu.Wanachama wa CCM wa Tawi la Kitope “B” wakiwa katika Mikutano ya kupongezwa baada ya kuwachagua wagombea wao wa nafasi tofauti kwenye kura za Maoni.
Baadhi ya wanachama wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wana msimamo gani kuhusu uzazi?

Wanaume nchini Tanzania wana uelewa kuhusu uzazi wa mpango?

 

9 years ago

Mwananchi

Vijana nchini wana fursa gani Serikali ya Magufuli?

Wakati vuguvugu la kuelekea Uchaguzi Mkuu linaanza mwanzoni mwa mwaka jana, hoja ya kuwa na viongozi vijana iliteka sehemu kubwa ya medani za siasa

 

10 years ago

GPL

MUME MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?

Ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu katika ukurasa wetu huu, tujadiliane na kuzungumza mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita, nilihitimisha mada iliyokuwa inazungumzia mwanamke mzuri anapaswa kuwa na vigezo gani? Kutokana na maombi ya wasomaji wangu, nimeamua kuhamia upande wa pili na kujadili pia sifa za mume au mwanaume bora. Nazungumza na wewe mwanamke au msichana, hivi umewahi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siasa za Tazania: Je, CCM wana uwezo gani wa kuhimili migogoro?

Vigogo watatu wa CCM Bernard Membe, Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana kwa sasa wapo kwenye 'kitimoto'

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani