WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE/MUME?
![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytqah54CVfshquk1p7qlrVUhyW*3baP*d68eKGJkYP1JiYj6MEKMNwToBlBR3WPpebkVT-O41u6RE4wM2BpLt0-j/ee.jpg?width=650)
Nianze kwa kumshukuru Jalali aliyenipa pumzi ya kuiona siku ya leo. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu, umzima buheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Wewe ambaye afya inaleta matatizo, nakuombea upone haraka. Je, upo kwenye uhusiano wa kimapenzi, unampenda sana mume, mke, mchumba au mpenzi uliyenaye lakini wazazi wako hawamkubali na matokeo yake wanakuchagulia mtu wa kuishi naye? Mada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJN7p6kH9rdrXBz0G4ihaUxpqrd1lTRVV0QlTAY-KzRTXZBcPaRaBZP409IaUD2RhemotNZl3CeqrxU0uCA5Y9ph/Love.jpg)
WAZAZI WANA NAFASI GANI KATIKA KUKUCHAGULIA MKE / MUME?-2
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IruOrqnqMi8/VhZ4BRKEnVI/AAAAAAABJk8/pJAAfqvHVVQ/s72-c/122.jpg)
BALOZI SEIF AWAONGOZA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI JIMBO LA MAHONDA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KUWASHUKURU WANA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-IruOrqnqMi8/VhZ4BRKEnVI/AAAAAAABJk8/pJAAfqvHVVQ/s640/122.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P7LKDaHXg8k/VhZ4B9sVl9I/AAAAAAABJlI/Ahl7-s6vz_U/s640/384.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FfX3QwR9kuE/VhZ4B_oZ_qI/AAAAAAABJlE/1EEfaA5qtNw/s640/388.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Vijana nchini wana fursa gani Serikali ya Magufuli?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsSoV9uqe9aIhruTQlHgGkT3l9xrreroDLiDSqZlxn0RGZ10kBVIL7UL4IZyX6GpKJJUPhRjhQQFzvRLu0NbP9L/2.jpg)
MUME MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Siasa za Tazania: Je, CCM wana uwezo gani wa kuhimili migogoro?