Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATEJA WA TIGO WAJISHINDIA SHILINGI MILIONI 160 MSIMU WA MWAKA MPYA

Mratibu wa Promosheni za Tigo Pesa Mary Rutta akipiga simu kupata washindi watano wa shilingi milioni 10 katika droo ya pili ya promo ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ jana. Wengine 20 walijishindia milioni 20 kila mmoja na wengine 350 walijishindia laki 2 kila mmoja iliyofanya jumla ya shilingi milioni 160 kuzolewa. Katikati ni Meneja Bidhaa wa Tigo Husni Seif na Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo Tanzania Humudi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kuvuna shilingi bilioni 3.8

1

Mkuu wa Huduma za Kifedha Kwa Njia ya Mtandao wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Tigo Dar es Salaam, kuhusu Wateja wa Tigo Pesa kupata faida ya robo mwaka ya shilingi bilioni 3.8. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja.

2

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano huo.

3

Waandishi wa habari wakichukua taarifa hiyo.

IMG_7017

Mkutano ukiendelea.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya...

 

5 years ago

Michuzi

Wateja Tigo Pesa wavuna shilingi bilioni 2.7

 Kampuni inayoongoza kwa mawasiliano ya kidigitali nchini Tanzania, Tigo, leo imetangaza kuwalipa wateja wake wanaotumia huduma ya kifedha ya Tigo Pesa kiasi cha shilingi bilioni 2.7 kama faida iliyopatikana kwenye robo ya kwanza ya mwaka 2020 iliyoishia tarehe 31 Machi 2020. Hii itakuwa ni mara ya 24 tangu kampuni izindue utaratibu huu wa kutoa gawio kwa wateja wake.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha kupitia simu za mkononi wa Tigo Tanzania, Angelica Pesha, amesema Tigo imewalipa...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.

Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athari za janga la COVID - 19.
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo Pesa yarejesha tena faida ya shilingi 3bn/- kwa wateja wake

DSC_07171

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez.

Tigo imetangaza leo kwamba imetoa malipo yake ya kwanza ya kila robo mwaka ya kiasi cha shilingi bilioni 3 (dola milioni 1.8) kwa wateja wake wa Tigo Pesa. Mgao huu ni wa kwanza kati ya awamu nne za malipo zinazotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Malipo haya yanafanyka miezi mitatu baada ya kampuni hiyo kulipa kiasi cha shilingi bilioni 14.25 (dola milioni 8.64) ambacho kilikuwa kimelimbikizwa katika mfuko wa fedha ya akaunti ya Tigo Pesa,...

 

11 years ago

GPL

TIGO YAZAWADIA MILIONI 830/- KWA WATEJA 2,335

Mshindi wa promosheni ya Tigo 'Shinda Kitita na Tigo Pesa' Bi. Germina Shayo (kushoto) akipokea mfano wa hundi wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa Mary Rutta katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika mapema leo katika makao makuu ya Tigo, Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa Tigo ishazawadia fedha taslimu shilingi milioni 830 kwa wateja 2,335 nchi nzima.… ...

 

11 years ago

GPL

TIGO YATOA MILIONI 400 KWA WATEJA WAKE‏

Nuru Staford, mkazi wa Tabata ambaye ni  mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya Tigo 'Shinda kitita na Tigo Pesa' akipokea mfano wa hundi ya Sh. milioni 2 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa, Mary Rutta leo jijini Dar es Salaam. Kufikia leo Tigo imeshatoa jumla ya shilingi milioni 400 kwa wateja wake 1,215 waliokwisha shinda na promosheni hii.
Mkazi wa Tazara, Nassoro Yusuphu,… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kuvuna faida ya bilioni 3.3 kwenye malipo ya kila robo mwaka

4322-tigo

Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza malipo ya faida ya hisa za tigo pesa kwa wateja wake katika robo mwaka mwingine, malipo haya ni jumla ya kiasa cha pesa bilioni 3.314 sawa na dola za kimarekani milioni 1.8. Huu ni ugawaji wa faida ya robo ya pili kwa mwaka huu.

Lengo letu ni kuhakikisha kuwa wadau wote wa Tigo Pesa, ambao ni pamoja na wateja binafsi, mawakala wa reja reja na washirika wetu wa kibiashara ambao watashiriki kwenye gawio la faida hii ni kutokana na thamani ya kietronikia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.

2

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez  (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa  chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.

Meneja...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WATAKIWA KUWA MAKINI KUELEKEA MSIMU WA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA

Na. Tamimu Adam- Jeshi la Polisi
Jeshi la polisi nchini  limewataka wananchi kuimarisha na kutekeleza kwa vitendo dhana ya ulinzi jirani katika kipindi hiki cha kuelekea kuadhimisha sikukuu za  mwisho wa mwaka na kusherekea mwaka mpya kwani  ulinzi jirani ni mkakati madhubuti katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao hapa nchini.
Hayo yalisemwa  na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu mwandamizi wa Polisi Advera Bulimba wakati akitoa tahadhari ya usalama katika kipindi hiki cha kuelekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani