WANANCHI WATAKIWA KUWA MAKINI KUELEKEA MSIMU WA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TWhLYwhe3s/Vm7jdLzwUoI/AAAAAAAIMW0/iv0ne6LiK5k/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Na. Tamimu Adam- Jeshi la Polisi
Jeshi la polisi nchini limewataka wananchi kuimarisha na kutekeleza kwa vitendo dhana ya ulinzi jirani katika kipindi hiki cha kuelekea kuadhimisha sikukuu za mwisho wa mwaka na kusherekea mwaka mpya kwani ulinzi jirani ni mkakati madhubuti katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu mwandamizi wa Polisi Advera Bulimba wakati akitoa tahadhari ya usalama katika kipindi hiki cha kuelekea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wananchi watakiwa kuwa makini na ‘vishoka’
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s72-c/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
TMA yatoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu wa Mvua za Masika
![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s640/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0856-2048x1369.jpg)
WANAHABARI WATAKIWA KUWA MAKINI KWA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s400/DSC_0856-2048x1369.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0878-scaled.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa makini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
9 years ago
Mtanzania27 Nov
‘Kadi za Christmas, mwaka mpya marufuku’
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya kwa gharama za Serikali kwa mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Balozi Sefue, alielekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
“Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na...
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wananchi watakiwa kuepuka uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu
Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko juu ya uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na baadhi ya watu kufanya vitendo vyenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani.
Zaidi ya matukio 107 yameripotiwa katika vituo vya polisi na 38 tayari yamefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani yakiwa na jumla ya watuhumiwa 52.
Akitoa tamko hilo msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi SSP Advera Bulimba amesema katika kipindi hiki cha kampeni na kuelekea uchaguzi mkuu...