Wananchi watakiwa kuwa makini na ‘vishoka’
Wananchi wametakiwa kukataa kuwalipa mafundi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wakiwa nyumbani, badala yake wawaambie malipo yafanyike katika ofisi za shirika hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0TWhLYwhe3s/Vm7jdLzwUoI/AAAAAAAIMW0/iv0ne6LiK5k/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUWA MAKINI KUELEKEA MSIMU WA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TWhLYwhe3s/Vm7jdLzwUoI/AAAAAAAIMW0/iv0ne6LiK5k/s400/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Jeshi la polisi nchini limewataka wananchi kuimarisha na kutekeleza kwa vitendo dhana ya ulinzi jirani katika kipindi hiki cha kuelekea kuadhimisha sikukuu za mwisho wa mwaka na kusherekea mwaka mpya kwani ulinzi jirani ni mkakati madhubuti katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu mwandamizi wa Polisi Advera Bulimba wakati akitoa tahadhari ya usalama katika kipindi hiki cha kuelekea...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0856-2048x1369.jpg)
WANAHABARI WATAKIWA KUWA MAKINI KWA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s400/DSC_0856-2048x1369.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0878-scaled.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa makini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
9 years ago
StarTV04 Jan
 Wataalam wa ardhi watakiwa kuwa makini katika upimaji ili Kuepuka Migogoro
Wataalam wa ardhi katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wakati wa utekelezaji wa kazi ya upimaji wa viwanja vya makazi na mji wa halmashauri hiyo ili kuepuka migogoro ya ardhi isiyo ya lazima na wananchi.
Tahadhari hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi kanda ya kaskazini Suma Tumpale kutokana nia taarifa ya wataalamu wa Ardhi wa Halmashauri hiyo kueleza kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wananchi wanaopinga uendeshwaji wa zoezi hilo katika maeneo yao.
Halmashauri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0856-2048x1369.jpg)
Wanahabari Rukwa watakiwa kuwa makini kujikinga na Corona ili kuendelea kuihabarisha jamii
![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0856-2048x1369.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0878-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s72-c/PIX+1.jpg)
SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s1600/PIX+1.jpg)
Serikali imewataka wananchi kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tOQX6TzSng8/VFBrvGHV1WI/AAAAAAACt5M/zP2vENpxUps/s72-c/1.jpg)
Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-tOQX6TzSng8/VFBrvGHV1WI/AAAAAAACt5M/zP2vENpxUps/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rsNoPYZB0HI/U0_bGCO8vuI/AAAAAAAFbgs/vxVADaDySIU/s72-c/download.jpg)
jeshi la polisi latahadharisha wananchi kuwa makini wakati wa sikukuu ya pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-rsNoPYZB0HI/U0_bGCO8vuI/AAAAAAAFbgs/vxVADaDySIU/s1600/download.jpg)