jeshi la polisi latahadharisha wananchi kuwa makini wakati wa sikukuu ya pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-rsNoPYZB0HI/U0_bGCO8vuI/AAAAAAAFbgs/vxVADaDySIU/s72-c/download.jpg)
SSP ADVERA SENSO
Tunapoelekea kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka, Jeshi la Polisi nchini, linatoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala la usalama wa maisha na mali zao.
Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha kwamba hakuna vitendo vyovyote vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Polisi yawaonya walevi Sikukuu ya Pasaka
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi yatoa tahadhari Sikukuu Pasaka
10 years ago
Habarileo04 Apr
Polisi waimarisha ulinzi sikukuu ya Pasaka
JESHI la Polisi limeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mwanza, ikiwemo katika Ziwa Victoria pamoja na makanisani wakati wa Sikukuu ya Pasaka, na kuhadharisha wananchi kutoa taarifa watakapopata shaka kuhusu watu, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa makini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s72-c/adverasenso.jpg)
UJUMBE WA SIKUKUU YA EID-EL-FITR KUTOKA JESHI LA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s1600/adverasenso.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s72-c/image061.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUELEKEA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s1600/image061.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wananchi watakiwa kuwa makini na ‘vishoka’
10 years ago
Habarileo03 Apr
Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka
JESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.