TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUELEKEA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s72-c/image061.jpg)
Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa shukrani za dhati kwa wananchi wote, vyama vya siasa, taasisi mbalimbali za serikali, madhehebu ya dini, asasi za kiraia na vyombo vya habari kwa ushirikiano wa dhati katika kusimamia masuala ya amani na usalama hapa nchini.
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s72-c/adverasenso.jpg)
UJUMBE WA SIKUKUU YA EID-EL-FITR KUTOKA JESHI LA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s1600/adverasenso.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vxnDM9FqwMs/U9T9J-BjgcI/AAAAAAAF7Co/5G4t1iAhnCM/s72-c/Police1.jpg)
JESHI LA POLISI MKOANI PWANI KUHIMARISHA ULINZI KATIKA SIKUKUU YA EID EL FITR
![](http://4.bp.blogspot.com/-vxnDM9FqwMs/U9T9J-BjgcI/AAAAAAAF7Co/5G4t1iAhnCM/s1600/Police1.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani limewataka madereva kuwa makini waendeshapo magari na kuacha matumizi ya vilevi ili kuepukana na ajali zisizo za lazima ambazo zinaweza zikajitokeza wakati wa kipindi cha sikukuu ya Eid el Fitr.
Pia limewataka wanafamilia kutotoka wote majumbani bila ya kuacha watu au kutoa taarifa kwa majirani ili kuepuka wizi na uhalifu unaoweza kujitokeza wakati wa sikukuu.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani humo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W2KLzLLv-IU/VR034Ef3vtI/AAAAAAAHO8M/9o_P0zdUdlE/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUELEKEA KIPINDI CHA SIKUKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-W2KLzLLv-IU/VR034Ef3vtI/AAAAAAAHO8M/9o_P0zdUdlE/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha ...
11 years ago
MichuziKATIKA KUELEKEA SIKUKUU YA EID EL FITR DUKA LAKO LA J&M VIRGO LASHUSHA MALI MPYA
HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA VITUZZ NA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO YA HAJA KWA KINA DADA.
KWA...
10 years ago
Michuzi25 Dec
10 years ago
Michuzi16 Jul
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI katika kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr
![download](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/download1.jpg)
Jeshi la Polisi nchini linapenda kuwaondoa hofu wananchi kuwa,...
5 years ago
MichuziHUU NDIO MPANGO MKAKATI WA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKUKUU
Kwa kutambua kuwa Mkoa wetu unapakana na nchi jirani ya Malawi [Kasumulu] tumejipanga kuimarisha ulinzi na kuendelea kudhibiti uhalifu katika vipenyo vyote [njia zisizo rasmi]. Pia kuendelea na zoezi la kukagua watu wanaopita mpakani ili kujiridhisha kuhusu...
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Waislamu washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitr leo