HUU NDIO MPANGO MKAKATI WA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKUKUU
Katika kuelekea sikukuu ya Eid El fitr Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limejipanga kikamilifu kusimamia usalama katika kipindi chote cha maadhimisho ya sikukuu ya EID EL FITR kwa kuhakikisha sherehe hizi zinafanyika kwa Amani na Utulivu.
Kwa kutambua kuwa Mkoa wetu unapakana na nchi jirani ya Malawi [Kasumulu] tumejipanga kuimarisha ulinzi na kuendelea kudhibiti uhalifu katika vipenyo vyote [njia zisizo rasmi]. Pia kuendelea na zoezi la kukagua watu wanaopita mpakani ili kujiridhisha kuhusu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s72-c/image061.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUELEKEA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s1600/image061.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W2KLzLLv-IU/VR034Ef3vtI/AAAAAAAHO8M/9o_P0zdUdlE/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUELEKEA KIPINDI CHA SIKUKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-W2KLzLLv-IU/VR034Ef3vtI/AAAAAAAHO8M/9o_P0zdUdlE/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha ...
10 years ago
Michuzi25 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)
Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...
11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LABUNI MKAKATI UTAKAOKOMESHA AJALI NCHINI
Jeshi la Polisi nchini limebuni mikakati itakayosaidia kukomesha ajali za barabarani kwa kuvishirikisha vikosikazi vya Polisi Jamii vilivyotawanywa katika kila kata na tarafa nchini kote.
Mikakati hiyo imetangazwa na Kamishna wa Polisi Jamii CP Mussa Ali Mussa, wakati wa mafunzo ya maadili awamu ya pili yanayotolewa kwa Askari Polisi wa ngazi ya kati yanayoendelea Mjini Dodoma.
Kamishna Mussa amesema kuwa mpango huo utasaidia kuwanasa...
10 years ago
Bongo514 Aug
Huu ndio mpango wa ex wa Zari na mpambe wake wa kutaka kuharibu furaha ya ujio wa Tiffah
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s72-c/adverasenso.jpg)
UJUMBE WA SIKUKUU YA EID-EL-FITR KUTOKA JESHI LA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s1600/adverasenso.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...