TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUELEKEA KIPINDI CHA SIKUKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-W2KLzLLv-IU/VR034Ef3vtI/AAAAAAAHO8M/9o_P0zdUdlE/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka ambayo inaanza kesho Ijumaa Kuu, Jeshi la Polisi nchini, linatoa tahadhari kwa wananchi, kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s72-c/image061.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUELEKEA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s1600/image061.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
10 years ago
Michuzi25 Dec
5 years ago
MichuziHUU NDIO MPANGO MKAKATI WA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKUKUU
Kwa kutambua kuwa Mkoa wetu unapakana na nchi jirani ya Malawi [Kasumulu] tumejipanga kuimarisha ulinzi na kuendelea kudhibiti uhalifu katika vipenyo vyote [njia zisizo rasmi]. Pia kuendelea na zoezi la kukagua watu wanaopita mpakani ili kujiridhisha kuhusu...
11 years ago
Michuzi17 Mar
Taarifa Kwa Wahitimu Wa Kidato cha Sita 2014 ya Kujiunga na Jeshi la Polisi Nchini
![](https://4.bp.blogspot.com/-4Yiax1JDMTE/UyYNa54A5PI/AAAAAAACr14/_Ym-C60Upe8/s1600/wwwwww.jpg)
Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao watazirejeshe kwa Makamada wa Polisi wa mikoa kabla ya tarehe 17.03.2014. Wahitimu wa kidato cha nne...
10 years ago
Michuzi31 Mar
10 years ago
Michuzi08 Jul
10 years ago
Michuzi11 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lmYzC1D6CiQ/VZqHKeZ_8mI/AAAAAAADVYI/rtBEiQIwEpc/s72-c/unnamed%252B%252851%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA KUIMARISHA ULINZI KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-lmYzC1D6CiQ/VZqHKeZ_8mI/AAAAAAADVYI/rtBEiQIwEpc/s1600/unnamed%252B%252851%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Addqt-b9Hc/VZqF8SsRthI/AAAAAAADVX8/gFQM0mE1rGQ/s1600/POLISI.jpg)