Polisi waimarisha ulinzi sikukuu ya Pasaka
JESHI la Polisi limeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mwanza, ikiwemo katika Ziwa Victoria pamoja na makanisani wakati wa Sikukuu ya Pasaka, na kuhadharisha wananchi kutoa taarifa watakapopata shaka kuhusu watu, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Polisi waimarisha ulinzi kuapishwa Dk. Magufuli
VERONICA ROMWALD NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi limesema limeimarisha ulinzi kesho wakati wa kuapishwa Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli.
Sherehe za kuapishwa Dk. Mgufuli zitafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuhudhuria.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Oparesheni Maalumu wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, alisema ni marufuku kwa wananchi kushiriki...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi yatoa tahadhari Sikukuu Pasaka
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Polisi yawaonya walevi Sikukuu ya Pasaka
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Polisi kuimarisha ulinzi Pasaka
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika ulinzi na usalama wa maisha na mali zao katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kuanzia leo.
Taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Bulimba, ilieleza kuwa wakati wa sikukuu baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu.
Alisema kutokana na hali hiyo, Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi katika mikoa yote...
11 years ago
Michuzi
jeshi la polisi latahadharisha wananchi kuwa makini wakati wa sikukuu ya pasaka

11 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI MKOANI PWANI KUHIMARISHA ULINZI KATIKA SIKUKUU YA EID EL FITR

JESHI la Polisi mkoani Pwani limewataka madereva kuwa makini waendeshapo magari na kuacha matumizi ya vilevi ili kuepukana na ajali zisizo za lazima ambazo zinaweza zikajitokeza wakati wa kipindi cha sikukuu ya Eid el Fitr.
Pia limewataka wanafamilia kutotoka wote majumbani bila ya kuacha watu au kutoa taarifa kwa majirani ili kuepuka wizi na uhalifu unaoweza kujitokeza wakati wa sikukuu.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani humo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi...
10 years ago
GPLMTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA
10 years ago
Michuzi
HERI YA SIKUKUU YA PASAKA
