Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athari za janga la COVID - 19.
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YATANGAZA HATUA ZA KUWAPUNGUZIA MZIGO WATEJA WAKE KUTOKANA NA JANGA LA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB , Ruth Zaipuna
· Hatua kuchukuliwa kulingana na mahitaji ya Wateja wa Biashara Ndogondogo na za Kati· Suluhisho pia kutolewa kwa Wateja Wakubwa
Dar es Salaam, Mei 21, 2020: Benki ya NMB Plc leo imetangaza unafuu wa ulipaji mikopo kwa Wateja wa Biashara ndogo na za kati (SME/MSME) na wakubwa ili kuwasaidia kukabiliana na madhara yaliyotokana na janga la COVID - 19 kwenye biashara zao. Hii ni jitihada ya benki katika kutoa ahueni kwa wateja wake...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mradi wa Mwanamke Mwezeshe wa WAMA wakopesha wanachama wa vikundi vya Hisa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo , Nachingwea
Jumla ya mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 zimetolewa kwa wanachama wa vikundi vya kukopa na kuweka akiba vilivyopo chini ya mradi wa Mwanamke Mwezeshe unaosimamiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hayo yamesemwa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa vikundi vya mradi wa Mwanamke...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YvOnlZbIJGM/XuXu-pgHdsI/AAAAAAAEHzs/dPaRKMwmpewQjv4NJN5nJTuXzuUAYwUmgCLcBGAsYHQ/s72-c/Minister%2BMpango.jpg)
Serikali Yaipongeza Benki Ya Exim Kwa Kuwalinda Wateja Na Athari Za Covid 19
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s72-c/PIX+3.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s1600/PIX+3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aa4NmvbdIUs/U89Xa2UN0hI/AAAAAAACl-k/Shkjl4W49oI/s1600/PIX+2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2UkKZy105dU/VaefKsrOtkI/AAAAAAAC8lk/9cPtiuSKHdo/s72-c/EXIM%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA FUTARI KWA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-2UkKZy105dU/VaefKsrOtkI/AAAAAAAC8lk/9cPtiuSKHdo/s640/EXIM%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RVPZoyxtNQ4/VaefK6D9RjI/AAAAAAAC8ls/eMOgT1CvWf4/s640/EXIM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YWRfi5QfIHw/VaefKJy9iqI/AAAAAAAC8lg/LIfZmDPJOEs/s640/EXIM%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Es66-Mpros8/Vii8j2MLFwI/AAAAAAAIBqQ/ygQZpfpqkhY/s72-c/Exim%2BMtwara%2B1.png)
BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI KWA WATEJA WAKE MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Es66-Mpros8/Vii8j2MLFwI/AAAAAAAIBqQ/ygQZpfpqkhY/s640/Exim%2BMtwara%2B1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ohOfIcHqojA/Vii8jdjeTQI/AAAAAAAIBqM/mUqtojtIV7I/s640/EXIM%2BMtwara%2B2.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)