Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIGO YAZAWADIA MILIONI 830/- KWA WATEJA 2,335

Mshindi wa promosheni ya Tigo 'Shinda Kitita na Tigo Pesa' Bi. Germina Shayo (kushoto) akipokea mfano wa hundi wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa Mary Rutta katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika mapema leo katika makao makuu ya Tigo, Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa Tigo ishazawadia fedha taslimu shilingi milioni 830 kwa wateja 2,335 nchi nzima.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TIGO YAZAWADIA SIMU ZA KISASA WATEJA WAKE BORA WA FACEBOOK NA TWITTER

Mtaalam wa Mitandao ya Kijamii George Katoto akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kutoa tuzo kwa wateja wake bora walioshiriki zaidi katika kurasa za Facebook  na Twiiter za kampuni hiyo. Kushoto ni Meneja wa Ubora wa Huduma kwa Wateja Tigo Mwangaza Matotola na Mtaalam wa Mitandao ya Kijamii kutoka Tigo Bi. Samira Baamar.
Mtaalam wa Mitandao ya Kijamii kutoka Tigo Bi. Samira Baamar (wapili kulia) akimkabidhi zawadi...

 

11 years ago

GPL

TIGO YATOA MILIONI 400 KWA WATEJA WAKE‏

Nuru Staford, mkazi wa Tabata ambaye ni  mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya Tigo 'Shinda kitita na Tigo Pesa' akipokea mfano wa hundi ya Sh. milioni 2 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa, Mary Rutta leo jijini Dar es Salaam. Kufikia leo Tigo imeshatoa jumla ya shilingi milioni 400 kwa wateja wake 1,215 waliokwisha shinda na promosheni hii.
Mkazi wa Tazara, Nassoro Yusuphu,… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA TIGO WAJISHINDIA SHILINGI MILIONI 160 MSIMU WA MWAKA MPYA

Mratibu wa Promosheni za Tigo Pesa Mary Rutta akipiga simu kupata washindi watano wa shilingi milioni 10 katika droo ya pili ya promo ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ jana. Wengine 20 walijishindia milioni 20 kila mmoja na wengine 350 walijishindia laki 2 kila mmoja iliyofanya jumla ya shilingi milioni 160 kuzolewa. Katikati ni Meneja Bidhaa wa Tigo Husni Seif na Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo Tanzania Humudi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao

1

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.

Tigo Tanzania leo imekuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo yazawadia watumiaji wake Sh400 mil

 Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo, imekabidhi zawadi ya fedha Sh400 milioni katika kipindi cha mwezi mmoja cha Promosheni ya Cheza kwa Furaha Unaposhinda Kitita na Tigo pesa.

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZAWADIA WATEJA WAKE MARA TANO ZAIDI MUDA WA MAONGEZI



Mkurugenzi  wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel TanzaniaBeatrice Singano, akiongea  na waandishi wa habari wakati wa uzinduziwa ofa ya "Kamata Tano Zaidi" inayowawezesha wateja wa Airtel kupatamara tano ya muda wa maongezi.


-Wateja kupata Bonus ya mara tano zaidi kwa kununua muda wa maongezi au kifurushi cha yatosha kupitia Airtel Money-Wateja wote  wa malipo ya awali kufaidika
Dar es Salaam, Jumatatu Agosti 17, 2015, Kampuni ya simu za mikononiya Airtel leo imezindua ofa kabambe kwa wateja...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZAWADIA WATEJA WAKE MARA TANO ZAIDI MUDA WA MAONGEZI‏

Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofa ya "Kamata Tano Zaidi" inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya muda wa maongezi. * Wateja kupata Bonus ya mara tano zaidi kwa kununua muda wa maongezi au kifurushi cha yatosha kupitia Airtel Money* Wateja wote wa malipo ya awali kufaidika Dar es Salaam, Jumatatu Agosti 17, 2015, Kampuni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!

tigo-logo

[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.

Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani