Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A Kusini:Serikali yakana kumtorosha Bashir

Serikali ya Afrika Kusini imekana ripoti kwamba mawaziri wake walipanga njama ya kumtorosha rais wa Sudan Omar El Bashir wiki iliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA

Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Nigeria yakana kujikokota

Serikali ya Nigeria imejitetea vikali kuhusiana na shutma za kushindwa kukabiliana na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram huku wakisema kuwa wamo vitani.

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao

SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge

Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC

Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini amepuuzilia mbali tahadhari zilizotolewa kuwa taifa hilo changa limo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE

Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani