A Kusini:Serikali yakana kumtorosha Bashir
Serikali ya Afrika Kusini imekana ripoti kwamba mawaziri wake walipanga njama ya kumtorosha rais wa Sudan Omar El Bashir wiki iliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA
Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir
11 years ago
BBCSwahili08 May
Serikali ya Nigeria yakana kujikokota
Serikali ya Nigeria imejitetea vikali kuhusiana na shutma za kushindwa kukabiliana na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram huku wakisema kuwa wamo vitani.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s72-c/Ba.jpg)
AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR
![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s640/Ba.jpg)
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge
Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K
Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini amepuuzilia mbali tahadhari zilizotolewa kuwa taifa hilo changa limo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*07ZctfuuCboKsuCJm2j4VNbai2VP20QU3sQzSsPQzY0mQk5sLiqS5mnsxRE2xWzH7KMnJznQcJHN3nArySLQg/mchungaji.jpg)
MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE
Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania