MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*07ZctfuuCboKsuCJm2j4VNbai2VP20QU3sQzSsPQzY0mQk5sLiqS5mnsxRE2xWzH7KMnJznQcJHN3nArySLQg/mchungaji.jpg)
Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella. MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YcvMs-3TPiK3AUAj6YKlbo*Hqb0C9Od74Kd75QjRs9nwxh06dEISIAMnzJeLOGn4RdOQZ3N4ZurTVikn1XzACV/e.jpg)
KAKA ADAIWA KUMTOROSHA DADA YAKE KWA MUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO72juYpw*SeYcZLz0Y7DLoWN5e7W5qBC0uU4Wx*VXVV56ioTZmAdqqLN4lg0DeS76iqb-JHFPQ5E5ALOJpjme2z/4mwanamke.jpg?width=650)
MWANAMKE ANASWA AKITAKA KUMTOROSHA BINTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpkkR48mQhJRf7*i05N0tjIvPxIS21ijpLKsHvfQtk24*Ns9LjI-iF5ODDZZkwVSyRSoJ67ofAOWK0IgmLbATgP/Back.jpg?width=650)
MCHUNGAJI ADAIWA KUTELEKEZA MKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LZkEmOmlaE4IWLBbR5Lx3q2PEQ5d*BMmjH498bVuI6JpbviL02KjGIeGPYkXCRwA3tPLShhGGqZiaxhW*mkCIEH/AFUFUKA1001.jpg?width=650)
MWANAMKE ADAIWA KUFUFUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWxtJu7DQkSvhmzVDOc-ASnk8MMOcu9X*3hbEuDG38GMPH7j0qS2xjvKQ2HB2GYIjsLDCKa-EZVEK59B4jd3a7d/Utekaji1.jpg?width=650)
MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
11 years ago
Habarileo13 Jun
Mwanamke adaiwa kumng'ata 'housegirl'
MWANAMKE aliyekuwa akituhumiwa kumng’ata msichana wake wa kazi sehemu mbalimbali za mwili , Amina Maige (42), mkazi wa Mwananyamala, Dar es Salaam amefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili.
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa
POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
10 years ago
Habarileo30 Mar
15 mbaroni jaribio la kumtorosha Gwajima
JESHI la Polisi linawashikilia na kuwahoji watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha kutoka Hospitali ya TMJ Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo jijini, Dar es Salaam, Joseph Gwajima aliyelazwa hapo tangu usiku wa kuamkia juzi.