Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE

Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAKA ADAIWA KUMTOROSHA DADA YAKE KWA MUME

Na Makongoro Oging’/Uwazi
ALLY Issa anayeishi Mombasa nchini Kenya, anadaiwa kumtorosha dada yake Hasina Issa (22)  aliyekuwa akiishi na mumewe, Baraka Ally (32), Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.Tukio hilo lilitokea siku ya mkesha wa Siku ya Wapendanao ‘Valentine’s Day’. Hasina Issa siku ya harusi yake. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Ally alisema alitoa taarifa polisi...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ANASWA AKITAKA KUMTOROSHA BINTI

Stori: Francis Godwin, Iringa
WAKAZI wa Kitongoji cha Frelimo mkoani hapa wamemkamata mwanamke aitwaye Zuhura Angero kwa madai ya kutaka kumtorosha binti wa kazi, Felenesta kwa ajili ya kumpeleka jijini Dar es Saalam kufanya kazi za ndani. Tukio hilo la aina yake limetokea saa mbili usiku Januari 12, mwaka huu baada ya wakazi hao kumwekea mtego mwanamke huyo na kumnasa. Inadaiwa kwamba mwanamke huyo ambaye ni mwenyeji wa Iringa...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI ADAIWA KUTELEKEZA MKE

Stori: HAMIDA HASSAN/Risasi
Mchungaji wa kanisa analosali msanii wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ na wenzake lililopo Sinza, Dar, Godwin Mwamposa amekanyaga skendo kufuatia madai ya kumtelekeza mkewe aitwaye Sylvia mwenye mtoto mmoja ambayo imetua kwenye dawati la gazeti hili. Mchungaji Godwin Mwamposa na mkewe siku ya ndoa yao. Ndugu wa Sylvia afunguka
Awali, ndugu aliyejitambulisha kuwa anaishi na...

 

9 years ago

GPL

MWANAMKE ADAIWA KUFUFUKA

MAAJABU ya dunia! Mama wa watoto watatu, Bahati Elias (35), mkazi wa Kata ya Ituwa jijini Mbeya anadaiwa kufufuka baada ya kufariki dunia kwa kuugua kichwa na kifua. Tukio hilo lilijiri Jumapili iliyopita katika Kanisa la Lulu Miracle Centre la jijini hapo ambako mwili wake ulipelekwa. Akizungumza na Amani kwa njia ya simu juzi, mchungaji wa kanisa hilo, Stanford Mwafulile alisimulia mkasa wa mwanamke huyo huku akisema hata yeye...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO

Mama anayefahamika kwa jina la Sara Zoya akiwa na watoto wake, Imani (14) na Leila (5). Stori: Shani Ramadhani
Mama mmoja, Sara Zoya mkazi wa Mabibo Makuburi, jijini Dar es Salaam amekimbilia polisi na kudai kuwa watoto wake walitekwa na ndugu yake  kisha kupelekwa kusikojulikana baada ya kufukuzwa kwenye nyumba yao ya familia. Sara alidai kuwa ndugu yao huyo aliyefanya kitendo hicho cha utekaji ni Hilda Zoya ambaye anadai...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kumng'ata 'housegirl'

MWANAMKE aliyekuwa akituhumiwa kumng’ata msichana wake wa kazi sehemu mbalimbali za mwili , Amina Maige (42), mkazi wa Mwananyamala, Dar es Salaam amefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa

POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

Habarileo

15 mbaroni jaribio la kumtorosha Gwajima

Askofu Joseph Gwajima akiwa amelazwa katika Hospitali ya TMJ Dar es Salaam jana.JESHI la Polisi linawashikilia na kuwahoji watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha kutoka Hospitali ya TMJ Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo jijini, Dar es Salaam, Joseph Gwajima aliyelazwa hapo tangu usiku wa kuamkia juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani