Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE ANASWA AKITAKA KUMTOROSHA BINTI

Stori: Francis Godwin, Iringa
WAKAZI wa Kitongoji cha Frelimo mkoani hapa wamemkamata mwanamke aitwaye Zuhura Angero kwa madai ya kutaka kumtorosha binti wa kazi, Felenesta kwa ajili ya kumpeleka jijini Dar es Saalam kufanya kazi za ndani. Tukio hilo la aina yake limetokea saa mbili usiku Januari 12, mwaka huu baada ya wakazi hao kumwekea mtego mwanamke huyo na kumnasa. Inadaiwa kwamba mwanamke huyo ambaye ni mwenyeji wa Iringa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

EE! MUNGU: MFANYABIASHARA WA MAGARI ANASWA AKITAKA KUMLAWITI MODO MAARUFU

Stori: Waandishi Wetu
EEH Mungu! Unaweza kukataa lakini ni ukweli kwamba dunia imekwisha! Mambo yanayotendeka kila kukicha juu ya ardhi yanathibitisha hilo. OFM walivyomnasa mfanyabiashara wa magari (kushoto) chumbani akitaka kumlawiti modo maarufu . Mfanyabiashara maarufu wa magari jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina la Juvenali amekumbwa… ...

 

10 years ago

GPL

ANASWA AKITAKA KUIBA, ANG’OLEWA MENO KWA KOLEO

Na Mwandishi  Wetu Mbeya
Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Musa hivi karibuni alichezea kichapo cha nguvu kisha kung’olewa meno kwa koleo baada ya kunaswa akitaka kuiba nyumbani kwa mtu. Kijana Mussa akiwa hoi baada ya kung'olewa meno. Tukio hilo lilitokea katika mji mdogo wa Tunduma uliopo wilayani Momba mkoani hapa ambapo kijana huyo alinaswa akiingia kwenye nyumba iliyopo Mtaa wa Tazara, Kata ya Kaloleni ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikata uume akitaka kuwa mwanamke

Msanii Mrusi aliyecheza katika filamu mashuhuri ya 'Burnt by the Sun 2', alipoteza uume wake baada ya kujikata akitaka kuwa mwanamke.

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE

Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?

Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]

The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

BINTI AGOMA KUFUNGA ANASWA NA WANAUME 2

Dustan Shekidele, Moro Ni ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani! Katika hali ya kushangaza, binti aliyejitambulisha kuwa ni mtoto wa Mzee Abass (20), mkazi wa jijini Tanga anadaiwa kugoma kufunga kisha kutoroka kwao na kunaswa geto na wanaume wawili mkoani hapa. Soma zaidi hapa ===>bit.ly/1BPPJMT

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke anaswa na ngozi za chui

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiOFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ANASWA KWA SOO LA UTAPELI

Stori:  Hamida Hassan na Imelda Mtema Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mwanaheri anadaiwa kunaswa kwa msala wa utapeli na kupewa kashikashi la aina yake baada ya ‘kutaitiwa’ na wanawake wenzake ambao ni wajasiriamali akisemekana kukomba mali zenye gharama za Sh. milioni mbili. Mtuhumiwa (Mwanaheri) aliyenaswa kwa msala wa utapeli akiwa chini ya ulinzi wa Polisi eneo la Mlimani City jijini Dar. Tukio hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani