Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI ADAIWA KUTELEKEZA MKE

Stori: HAMIDA HASSAN/Risasi
Mchungaji wa kanisa analosali msanii wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ na wenzake lililopo Sinza, Dar, Godwin Mwamposa amekanyaga skendo kufuatia madai ya kumtelekeza mkewe aitwaye Sylvia mwenye mtoto mmoja ambayo imetua kwenye dawati la gazeti hili. Mchungaji Godwin Mwamposa na mkewe siku ya ndoa yao. Ndugu wa Sylvia afunguka
Awali, ndugu aliyejitambulisha kuwa anaishi na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU

Na Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Uwazi
Kweli Dunia imefikia ukingoni! Mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Josephine Singano mkazi wa Mburahati jijini Dar, amemlalamikia mumewe, Ruwaichi Wilson Manyanga maarufu kama Dk. Manyanga ambaye ni kiongozi wa huduma ya maombezi iitwayo Shalom ya Kanisa la Efatha lililopo chini ya Mchungaji Josephat Mwingira, kwa kumtelekeza. Mke wa Ruwaichi Wilson, Josephine Singano (anayelia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC adaiwa kutelekeza watoto Brazil

WACHEZAJI sita wa ‘The Dream Team’ mkoani hapa waliofanikiwa kupata nafasi na kutimiza masharti ya kupelekwa nchini Brazil kushuhudia mechi za Kombe la Dunia wamekumbana na adha baada ya kulazwa...

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE

Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI, MKE WA MWANAJESHI LAIVU!

Waandishi wetu
DUNIA inaelekea mwisho. Mchungaji mmoja wa Kanisa la Pentekoste, raia wa Kenya aitwaye Pasca Mugambi hivi karibuni alinaswa chumbani ‘live’ katika gesti moja iliyopo Manzese Tip Top akiwa na mke wa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye ni muunini wake, Risasi Mchanganyiko linakupa kisa kamili. Mchungaji Pasca Mugambi akikosa la kufanya baada ya kufumaniwa. TUJIUNGE NA CHANZO
...

 

11 years ago

GPL

MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!

Na Mwandishi Wetu
SHETANI anazidi kuuatamia ulimwengu! Mama mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Farida mkazi wa Mburahati jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudaiwa kumuua mumewe aliyetajwa kwa jina la Amosi Joseph kwa kumpiga kwa kukombe kichwani, Ijumaa linaidondosha kama ilivyo. Akisimulia mbele ya gazeti hili mkasa mzima, mtoa habari hii aliyetajwa kuwa dada wa marehemu anayejulikana kwa jina la Khadija,...

 

10 years ago

GPL

MADAI MAZITO: MCHUNGAJI ATOROSHA MKE WA MTU!

Na Mwandishi Wetu
MCHUNGAJI anayejiita nabii na mtume, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) aliyetajwa kwa jina moja la Emmanuel amejikuta ndani ya majanga kufuatia madai mazito kwamba amemtorosha mke wa mtu ambaye ni mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bongo anayekuja juu kwa kasi, Janet Mrema. Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bongo anayekuja juu kwa kasi, Janet Mrema anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji huyo. Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha KIGOGO wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ (38) anadaiwa kupora mke wa mtu, Violet Herman Masawe (29) huku ikisemekana anatumia jeuri ya fedha kumnyanyasa mwenye mke. Kigogo wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ anayedaiwa kupora mke wa mtu. ...

 

11 years ago

Habarileo

Mke adaiwa kuhusika kumuua mumewe

MKAZI wa kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda, Kitola Jeremia (45) ameuawa kwa kupasuliwa tumbo lake kwa kisu na utumbo wake wote kutolewa nje na watu wawili wanaodaiwa kukodishwa.

 

11 years ago

GPL

MUME ADAIWA KUUZA KABURI LA MKE WAKE

Shakoor Jongo na Deogratius Mongela
Hii ndiyo kali ya kufungia mwaka katika zote zilizotokea mwaka 2013! Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Abrahaman, mkazi wa Kimara-Kilungule, Dar, anadaiwa kuuza kiwanja ambacho ndani yake kuna kaburi marehemu mkewe, Aisha Abdul aliyefariki Julai 21, 2004. MALALAMIKO MEZANI
Wakizungumza na Uwazi kwa nyakati tofauti, watoto wa marehemu ambao wanapingana na tukio hilo la baba yao kuuza eneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani