Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO

Mama anayefahamika kwa jina la Sara Zoya akiwa na watoto wake, Imani (14) na Leila (5). Stori: Shani Ramadhani
Mama mmoja, Sara Zoya mkazi wa Mabibo Makuburi, jijini Dar es Salaam amekimbilia polisi na kudai kuwa watoto wake walitekwa na ndugu yake  kisha kupelekwa kusikojulikana baada ya kufukuzwa kwenye nyumba yao ya familia. Sara alidai kuwa ndugu yao huyo aliyefanya kitendo hicho cha utekaji ni Hilda Zoya ambaye anadai...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kova akanusha Noah kuteka watoto

WAKATI hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto wanaosoma shule za msingi na kufanyiwa unyama ukiwamo ulawiti, kuuawa na hata kuchunwa ngozi.

 

9 years ago

GPL

MWANAMKE ADAIWA KUFUFUKA

MAAJABU ya dunia! Mama wa watoto watatu, Bahati Elias (35), mkazi wa Kata ya Ituwa jijini Mbeya anadaiwa kufufuka baada ya kufariki dunia kwa kuugua kichwa na kifua. Tukio hilo lilijiri Jumapili iliyopita katika Kanisa la Lulu Miracle Centre la jijini hapo ambako mwili wake ulipelekwa. Akizungumza na Amani kwa njia ya simu juzi, mchungaji wa kanisa hilo, Stanford Mwafulile alisimulia mkasa wa mwanamke huyo huku akisema hata yeye...

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI ADAIWA KUMTOROSHA MWANAMKE

Stori: Denis Mtima, Chande Abdallah na Deogratius Mongella.
MCHUNGAJI mmoja wa kanisa la kiroho la Biblical lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina tunalo), anadaiwa kumtorosha mwanamke aitwaye Catherine Paul (28) ambaye ni mfanyabiashara wa duka Tegeta jijini Dar. Picha ya Catherine Paul anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji. Habari zinadai kuwa, wakati akiendelea na biashara hiyo, Catherine alipata ugonjwa wa ajabu...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kumng'ata 'housegirl'

MWANAMKE aliyekuwa akituhumiwa kumng’ata msichana wake wa kazi sehemu mbalimbali za mwili , Amina Maige (42), mkazi wa Mwananyamala, Dar es Salaam amefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa

POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC adaiwa kutelekeza watoto Brazil

WACHEZAJI sita wa ‘The Dream Team’ mkoani hapa waliofanikiwa kupata nafasi na kutimiza masharti ya kupelekwa nchini Brazil kushuhudia mechi za Kombe la Dunia wamekumbana na adha baada ya kulazwa...

 

11 years ago

Habarileo

Adaiwa kuhonga ubuyu kulawiti watoto

MKAZI wa mmoja wa Kijiji cha Igurubi Tarafa ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuwaingilia kimwili watoto wenye umri wa chini ya miaka kumi, baada ya kuwarubuni kwa kuwapa ubuyu na Sh 500 taslimu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke anayewezesha watoto Malawi

Monica Makeya Dzonzi husimamia kituo cha Ayise Bangwe nchini Malawi ambacho huandaa mafunzo ya kompyuta, michezo na ujuzi wa kujikimu kimaisha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeanzisha shirika la kuwafaa watoto

Esther Kalenzi alianzisha shirika la kuwasaidia watoto Uganda la 40 days over 40 miles na ni mmoja wa mashujaa waliosahaulika Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani