Kova akanusha Noah kuteka watoto
WAKATI hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto wanaosoma shule za msingi na kufanyiwa unyama ukiwamo ulawiti, kuuawa na hata kuchunwa ngozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNOAH INAYODAIWA KUTEKA WANAFUNZI JIJINI DAR YAZUA KIZAAZAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWxtJu7DQkSvhmzVDOc-ASnk8MMOcu9X*3hbEuDG38GMPH7j0qS2xjvKQ2HB2GYIjsLDCKa-EZVEK59B4jd3a7d/Utekaji1.jpg?width=650)
MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa
KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Wapalestina wanashukiwa kuua na kuteka
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
IS wakaribia kuteka mji muhimu Syria
11 years ago
Habarileo21 Mar
Waasia 2 kortini njama za kuteka nyara
WATU wawili wenye asili ya bara la Asia, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kupanga njama za kuteka nyara.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Boko Haram wakiri kuteka wasichana
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Vikosi vya Iraq vyashindwa kuteka Tiqrit