Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda
Wapiganaji wa kiislamu wa Alshabab wamesema katika maneno yao kuwa linawashikilia mateka wa kivita kutoka Uganda waliowateka wakati wa mashambulizi ya wiki iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8KPzXIY7uoGW4Qdm4zmMFDWfgnIgwT5A1DpKsdATfG2V20ttYhI91o-v7cEwdfZ*VgAC17aWrfOuivI4fEfoEm/gaidi.jpg)
UGAIDI BONGO: AL-SHABAAB WATAKAVYOTUMIA UWANJA WA MWANZA KUTEKA NDEGE
Stori: Mwandishi Wetu
HATARI! Uwanja wa Ndege wa Mwanza si salama na unaweza kutumiwa na magaidi kama Al-Shabaab kuteka ndege na kuua watu wakati wowote, Risasi Jumamosi lina ushahidi mzito. Jengo la Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Upelelezi wa kina uliofanywa na gazeti hili bila kujulikana katika operesheni maalum iliyopewa jina la ‘HAKIKISHA NCHI SALAMA’,… ...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari wawili mbaroni kwa kuteka magari
>Askari mwenye cheo cha sajini katika  Gereza la Ruanda na polisi mwenye cheo cha konstebo katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Mbeya, wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na watu wengine watatu, kwa kuteka gari na kupora fedha na mali katika eneo la Mlima wa Kawetere, Barabara ya Mbeya-Chunya, juzi jioni.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Al Shabaab wadai kushambulia AU
Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Al-Shabaab wadai kumuua mbunge Somalia
Wanamgambo wa Al Shabab nchini Somalia wamedai kumuua kwa kumfyatulia risasi mbunge maarufu mjini Mogadishu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Al Shabaab ladai kuwaua askari wa Ethiopia
Kumekua na mapigano makali katikati mwa Somalia baina ya wanajeshi wa taifa hilo ,wanamgambo wa kiislam wa Alshaabab na wanajeshi wa Ethiopia
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda
Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi
11 years ago
TheCitizen19 Mar
Al-Shabaab ‘planning’ major Uganda attack
>Uganda warned today that Somalia’s Al-Qaeda linked Al-Shabaab insurgents were planning to use fuel tankers as bombs, one day after Kenya thwarted a “massive†car bomb attack.
9 years ago
TheCitizen10 Sep
Al-Shabaab claim to hold Uganda soldiers
Somalia’s Islamist Al-Shabaab insurgents claimed yesterday to be holding Ugandan troops hostage after an attack last week, although Kampala has said all its troops are accounted for.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania