Al-Shabaab wadai kumuua mbunge Somalia
Wanamgambo wa Al Shabab nchini Somalia wamedai kumuua kwa kumfyatulia risasi mbunge maarufu mjini Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Al Shabaab wadai kushambulia AU
Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda
Wapiganaji wa kiislamu wa Alshabab wamesema katika maneno yao kuwa linawashikilia mateka wa kivita kutoka Uganda waliowateka wakati wa mashambulizi ya wiki iliyopita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmz*cVLPpDANXs*JP8*4Thn7-uxZ-90jGo5qPP97YMX0zq85uL*HFcG2eXY-sT6OGVyCOsLi--CdgkUTsJTxmWnn/Shebab.jpg?width=650)
MAREKANI YATHIBITISHA KUMUUA KWA KOMBORA MOJAWAPO YA VIONGOZI AL SHABAAB
Kikundi cha wapiganaji wa Somalia cha Al Shaabab. Kikosi cha ulinzi nchini Marekani. Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab kupitia kombora. Adan Garaar alituhumiwa kupanga shambulio katika jumba la kibiashara la West Gate nchini Kenya miaka miwili iliyopita. Maafisa nchini Marekani… ...
9 years ago
TheCitizen02 Nov
Shabaab kills 12 in Somalia
At least 12 people were killed in the Somali capital yesterday after Al Shabaab gunmen used a vehicle packed with explosives to blast their way inside a hotel, police said.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
AL Shabaab washambulia ikulu Somalia
Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vikosi vyapambana na Al Shabaab Somalia
Makabiliano makali yanaendelea kati ya wanajeshi wa AMISOM na wapiganaji wa Al Shabaab katika eneo la hoteli ya wanajeshi hao
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Al-Shabaab wapata pigo Somalia
Wanajeshi nchini Somali wameidhibiti milima ya Galgala kutoka kwa wapiganaji wa Al-shabaab,kulingana na utawala wa eneo hilo.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania