MAREKANI YATHIBITISHA KUMUUA KWA KOMBORA MOJAWAPO YA VIONGOZI AL SHABAAB
![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmz*cVLPpDANXs*JP8*4Thn7-uxZ-90jGo5qPP97YMX0zq85uL*HFcG2eXY-sT6OGVyCOsLi--CdgkUTsJTxmWnn/Shebab.jpg?width=650)
Kikundi cha wapiganaji wa Somalia cha Al Shaabab. Kikosi cha ulinzi nchini Marekani. Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab kupitia kombora. Adan Garaar alituhumiwa kupanga shambulio katika jumba la kibiashara la West Gate nchini Kenya miaka miwili iliyopita. Maafisa nchini Marekani… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s72-c/Christopher-Mtikila.jpg)
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s400/Christopher-Mtikila.jpg)
KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Al-Shabaab wadai kumuua mbunge Somalia
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Kinana awarushia kombora viongozi wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, KARATU
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameanika ufisadi ulioko katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akihutubia wananchi katika Viwanja vya Mazingira mjini hapa jana, Kinana alisema viongozi wa halmashauri hiyo wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi, ingawa wamekuwa wakilaumu Serikali ya CCM kwamba haiwaletei maendeleo wananchi wake.
“Nyinyi mliochagua Chadema sijui...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HQSy6kXC6MrtgDC3lvqrMuDFaUnCgjL9r*lzSWKEOI4lbdvCj7ZyOmCn-kVqqSxbGz1hvf0yakxgHa0Bhg1F8WdA6QKUfDBL/1831dadad1ed91c4d0cb5fc4e121fb70_XL.jpg?width=650)
MAREKANI YAFANYA MAJARIBIO YA KOMBORA LA BALESTIKI
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Mauji ya Tulsa: Kile kilichotokea katika mauaji ya 'Black Wall Street', mojawapo ya uhalifu mbaya zaidi katika historia ya ubaguzi Marekani
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Wauawa kwa kushambuliwa na kombora
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Lissu arusha kombora lingine kwa mawaziri