Wauawa kwa kushambuliwa na kombora
Wizara ya afya katika ukanda wa Gaza imeeleza kuwa watu wapatao kumi wameuawa kutokana na shambulizi la makombora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s72-c/Christopher-Mtikila.jpg)
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s400/Christopher-Mtikila.jpg)
KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
5 years ago
CCM BlogMTOTO AMEAGA DUNI KWA KUSHAMBULIWA NA FISI
Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba June 2 wakati akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na tukio la kushambuliwa hadi kufariki dunia kwa mtoto wa miaka miwili na nusu aliyehamika kwa jina la Charles Christian katika...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Lissu arusha kombora lingine kwa mawaziri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eg-hKb3a6F8/Xt9NlobYI5I/AAAAAAALtJE/zbX9hRBkuaIjnjGTJikwfmg4Y-2sr6jdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMANDA MUROTO ATHIBITISHA KUSHAMBULIWA KWA MWENYEKITI MBOWE
Charles James, Michuzi TV
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma limethibitisha kushambuliwa na kujeruhiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake jijini Dodoma.
Akizungumza na wandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema taarifa za Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana walizipata asubuhi ya leo kupitia kwa Mbunge wa Viti Malum wa Chama hicho.
Muroto amesema tayari Jeshi la Polisi limeshaanza kufanya uchunguzi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmz*cVLPpDANXs*JP8*4Thn7-uxZ-90jGo5qPP97YMX0zq85uL*HFcG2eXY-sT6OGVyCOsLi--CdgkUTsJTxmWnn/Shebab.jpg?width=650)
MAREKANI YATHIBITISHA KUMUUA KWA KOMBORA MOJAWAPO YA VIONGOZI AL SHABAAB
11 years ago
CloudsFM03 Jul
KAMANDA WA POLISI KINONDONI AZUNGUMZIA TUKIO LA BASI LA MAGEREZA KUSHAMBULIWA KWA RISASI
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa, aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia kwa kujipiga risasi.
Kamanda wa Polisi, mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, akithibitisha tukio la gari la...
10 years ago
Bongo Movies20 Jun
Baada ya Kushambuliwa kwa Kumpa Break Nuh Mziwanda, Shilole Ajibu Mapigo
Baada ya Shilole kutangaza kumpa break mwenzi wake Nuh Mziwanda kwa muda wa mwezi huu mzima, wakitarajia kuendeleza malavi davi yao baada ya kipindi hiki kitakatifu kupita, baadhi ya mashabiki ambao wanajinasibu kuijua dini wamekuwa wakimshambulia Shilole kwa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuwa kitendo cha kutaka kumrudia tena Miziwanda bila ndoa sio sawa kwa upande wa dini na wengine kwenda mabli zaidi na kudai hata kazi yake ya sanaa ambayo humfanya kukata maouno pia haifai, kitendo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SAKATA LA KUSHAMBULIWA MBOWE, SPIKA NDUGAI ATOA MAELEKEZO KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
*Mbunge Chadema adai Mbowe alienda kulewa, akavunjika
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameviomba vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo Jeshi la Polisi kutoa taarifa kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Mbowe inadaiwa kuwa amevamiwa akiwa nyumbani kwake na kisha kushambuliwa na watu wasiojulikana...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa