KAMANDA MUROTO ATHIBITISHA KUSHAMBULIWA KWA MWENYEKITI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-eg-hKb3a6F8/Xt9NlobYI5I/AAAAAAALtJE/zbX9hRBkuaIjnjGTJikwfmg4Y-2sr6jdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Charles James, Michuzi TV
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma limethibitisha kushambuliwa na kujeruhiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake jijini Dodoma.
Akizungumza na wandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema taarifa za Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana walizipata asubuhi ya leo kupitia kwa Mbunge wa Viti Malum wa Chama hicho.
Muroto amesema tayari Jeshi la Polisi limeshaanza kufanya uchunguzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM03 Jul
KAMANDA WA POLISI KINONDONI AZUNGUMZIA TUKIO LA BASI LA MAGEREZA KUSHAMBULIWA KWA RISASI
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa, aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia kwa kujipiga risasi.
Kamanda wa Polisi, mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, akithibitisha tukio la gari la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SAKATA LA KUSHAMBULIWA MBOWE, SPIKA NDUGAI ATOA MAELEKEZO KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
*Mbunge Chadema adai Mbowe alienda kulewa, akavunjika
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameviomba vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo Jeshi la Polisi kutoa taarifa kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Mbowe inadaiwa kuwa amevamiwa akiwa nyumbani kwake na kisha kushambuliwa na watu wasiojulikana...
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Tanzania: Mwanasiasa wa upinzani Freeman Mbowe avamiwa na kushambuliwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s72-c/IMG-20140412-WA0000.jpg)
DARAJA LAKATIKA ENEO LA MAPINGA,BAGAMOYO - KAMANDA WA POLISI MKOA WA PWANI ATHIBITISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s1600/IMG-20140412-WA0000.jpg)
Akithibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,ACP Ulrich Matei amesema ni kweli kumetokea kwa tatizo hilo na amewataka watumiaji wa barabara ya Bagamoyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
JESHI LA POLISI NCHINI WATHIBITISHA MBOWE ALIKUWA AMELEWA CHAKALI KIASI CHA KUSHINDWA KUTAMKA MANENO SIKU ANAYODAI KUSHAMBULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
*Pia alikwenda kwa mzazi mwenzie Mbunge wa Viti Maalum Joyce Nkya
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za starehe zinazouza vileo ikiwemo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA,FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bBI483X57FE/VBrFvS5T5YI/AAAAAAAGkO4/T7SK0Lu5RDI/s1600/DSCF9030.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)