Tanzania: Mwanasiasa wa upinzani Freeman Mbowe avamiwa na kushambuliwa
Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Freeman Mbowe amevamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijini Dodoma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Freeman Mbowe: Marekani yaitaka Serikali ya Tanzania kuwakamata waliomshambulia
Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe.
10 years ago
Vijimambo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma


5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Freeman Mbowe asema mtoto wake ameambukizwa virusi vya corona ndani ya Tanzania
Katika taarifa yake kwa umma, Mbowe amesema kuwa mtoto amethibitika kupatikana na virusi vya Corona baada ya kupata homa za vipindi, kuumwa kichwa mfululizo na kukohoa kwa siku tano.
5 years ago
Michuzi
KAMANDA MUROTO ATHIBITISHA KUSHAMBULIWA KWA MWENYEKITI MBOWE
Charles James, Michuzi TV
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma limethibitisha kushambuliwa na kujeruhiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake jijini Dodoma.
Akizungumza na wandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema taarifa za Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana walizipata asubuhi ya leo kupitia kwa Mbunge wa Viti Malum wa Chama hicho.
Muroto amesema tayari Jeshi la Polisi limeshaanza kufanya uchunguzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Usichokijua kuhusu Freeman Mbowe
NAKUMBUKA ilikuwa Julai, mwaka 2002, ambapo nilikutana na Freeman Mbowe akiwa na kiu ya kweli ya kuleta mabadiliko na siasa mbadala nchini baada ya kushuhudia kuporomoka vibaya kwa NCCR-Mageuzi na...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
ZIARA YA MH FREEMAN MBOWE MKOANI TABORA



10 years ago
Vijimambo
ZIARA YA MH FREEMAN MBOWE MKOANI MOROGORO





11 years ago
Mwananchi31 Aug
Freeman Mbowe apata ‘mbabe’ mwenzake
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk amejitokeza ‘kupimana kifua’ na Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe katika uchaguzi wa ndani unaotarajiwa kufanyika Septemba 14.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania