Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Freeman Mbowe asema mtoto wake ameambukizwa virusi vya corona ndani ya Tanzania

Katika taarifa yake kwa umma, Mbowe amesema kuwa mtoto amethibitika kupatikana na virusi vya Corona baada ya kupata homa za vipindi, kuumwa kichwa mfululizo na kukohoa kwa siku tano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

JE, MALKIA ELIZABETH WA UINGEREZA AMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA

Je, Malkia Elizabeth wa Uingereza ameambukizwa virusi vya coronaKuna tetesi kuwa mtawala mkuu wa Uingereza, Malkia Elizabeth ameambukizwa virusi vya maradhi ya corona, baada ya mwanae na mrithi wake, Charles kupatikana na ugonjwa huo ambao rasmi unajulikana kama COVID-19.Baadhi ya duru zinadokeza kuwa Malkia Elizabeth ameambukizwa corona ingawa vyombo vya habari vya Uingereza vimenyamazia kimya taarifa hiyo.Imedokezwa kuwa baada ya Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kuwa ameambukizwa corona mnamo Ijumaa, ripoti za kitibaz ilibaini kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona

Mamlaka za Tanzania zathibitisha wagonjwa wapya watano.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19

Picha za Wanyama hao zimepigwa katika nchi tofauti duniani ambazo raia wake wanatekeleza maelekezo ya kuzuia kasi ya janga la corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Rais Ramaphosa asema mlipuko wa virusi utakuwa mbaya zaidi

Cyril Ramaphosa ametangaza kulegeza masharti ya kukaa nyumbani, na uuzaji wa vilevi unatarajiwa kuanza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wanandoa waliodai virusi vya corona ni 'mzaha Tanzania' watiwa mabaroni

Maafisa wa polisi katika mji mkuu wa kibiashara nchini Tanzania Dar es salaam wanawazuilia wanandoa kwa madai ya kusambaza uongo kuhusu habari za virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli

Watanzania wengi wanatakiwa kuhamasishwa kuhusu ugonjwa corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Papa Francis asema corona imeonyesha jinsi maskini wanavyotengwa na jamii

Papa Francis anasema janga la virusi vya corona limeonyesha ni kwa jinsi gani maskini wametengwa na jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani