Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19
Picha za Wanyama hao zimepigwa katika nchi tofauti duniani ambazo raia wake wanatekeleza maelekezo ya kuzuia kasi ya janga la corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUOhUfH_2ao/XqMLYpo0AdI/AAAAAAALoIY/AEkNAvMKvFQUvLGK0UkFqkGAIIaFyRKqwCLcBGAsYHQ/s72-c/94312930_2741905162575055_8908452115450429440_o.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani
The US's top infectious diseases doctor warns senators of the risks of reopening too soon.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimewataka wafuasi wake bungeni kuacha kujhudhuria vikao vya bunge na kukaa mbali na majengo ya bunge ya Dodoma na Dar es salaam ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Watu milioni 200 kupoteza ajira kwa mlipuko wa Covid-19
Asilimia 81 ya wafanyakazi wote duniani, sawa na watu bilioni 3.3 wameathirika na janga la virusi vya corona baada ya sehemu zao za kazi kufungwa kabisa ama kwa kiasi.
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: Jitihada za Zanzibar kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona
Waziri wa afya visiwani Zanzibar Hamad Rashid ameiambia BBC kwamba virusi hivi utaathiri uchumi visiwani humo.
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia wagonjwa 4,738
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19
Shirika hilo limeonya kwamba utumiaji wa dawa ya chloroquine au hydroxychloroquine bila kufuata mwongozo kunaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo kuumwa kupita kiasi au kifo.
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?
Virusi vya corona : Ni kweli wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania