JE, MALKIA ELIZABETH WA UINGEREZA AMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
Kuna tetesi kuwa mtawala mkuu wa Uingereza, Malkia Elizabeth ameambukizwa virusi vya maradhi ya corona, baada ya mwanae na mrithi wake, Charles kupatikana na ugonjwa huo ambao rasmi unajulikana kama COVID-19.Baadhi ya duru zinadokeza kuwa Malkia Elizabeth ameambukizwa corona ingawa vyombo vya habari vya Uingereza vimenyamazia kimya taarifa hiyo.Imedokezwa kuwa baada ya Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kuwa ameambukizwa corona mnamo Ijumaa, ripoti za kitibaz ilibaini kuwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Freeman Mbowe asema mtoto wake ameambukizwa virusi vya corona ndani ya Tanzania
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka.
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s72-c/New%2BPicture.png)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATUMA SALAMU ZA PONGEZA KWA RAIS JOHN POMBE JOSEF MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s1600/New%2BPicture.png)
SALAMU ZA PONGEZI RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amepokea salamu za pongezi kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katika salamu hizo Malkia wa Uingereza amemueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa “Natumaini kuwa mahusiano baina ya nchi hizi mbili ambazo ni...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Hospitali za Uingereza zaanza kufanyia majaribio dawa mpya
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?