Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE

Tarehe 21 Aprili ilikuwa siku ya kutimiza umri wa miaka 94 kwa Malkia Elizabeth II. 
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka. 
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CCM BLOG YAMTAKIA MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE

 CCM BLOG yamtakia Mzee Pius Msekwa kwa kusherehekea kumbukizi ya Siku ya kuzaliwa kwake. ambapo leo atimiza miaka 85 ya kuzaliwa kwake.

Pius Msekwa (amezaliwa 9 Juni 1935) ni mwanasiasa. Kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 alikuwa spika wa Bunge la Tanzani
 Nyadhifa alizowahi kuwa Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) kati ya mwaka 1999-2002, pia Mjumbe wa Kamati ya Kurekebisha Sekta ya Sheria kati ya mwaka 1993-1994 na Mjumbe wa Tume ya Rais ya...

 

5 years ago

CCM Blog

JE, MALKIA ELIZABETH WA UINGEREZA AMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA

Je, Malkia Elizabeth wa Uingereza ameambukizwa virusi vya coronaKuna tetesi kuwa mtawala mkuu wa Uingereza, Malkia Elizabeth ameambukizwa virusi vya maradhi ya corona, baada ya mwanae na mrithi wake, Charles kupatikana na ugonjwa huo ambao rasmi unajulikana kama COVID-19.Baadhi ya duru zinadokeza kuwa Malkia Elizabeth ameambukizwa corona ingawa vyombo vya habari vya Uingereza vimenyamazia kimya taarifa hiyo.Imedokezwa kuwa baada ya Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kuwa ameambukizwa corona mnamo Ijumaa, ripoti za kitibaz ilibaini kuwa...

 

5 years ago

CCM Blog

CCM BLOG YAMTAKIA HERI MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE

  CCM BLOG yamtakia heri Mzee Pius Msekwa kwa kusherehekea kumbukizi ya Siku ya kuzaliwa kutimiza miaka 85 ya kuzaliwa kwake.

Pius Msekwa (alizaliwa Juni 9, 1935) ni ambapo mwaka 1995 hadi 2005 alikuwa spika wa Bunge Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa la Tanzania.
 Nyadhifa alizowahi kuwa nazo ni; Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) kati ya mwaka 1999-2002, pia Mjumbe wa Kamati ya Kurekebisha Sekta ya Sheria katiba ya mwaka 1993-1994 na Mjumbe wa Tume ya...

 

9 years ago

Michuzi

MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATUMA SALAMU ZA PONGEZA KWA RAIS JOHN POMBE JOSEF MAGUFULI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
SALAMU ZA PONGEZI     RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amepokea salamu za pongezi kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
     Katika salamu hizo Malkia wa Uingereza amemueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa  “Natumaini kuwa mahusiano baina ya nchi hizi mbili ambazo ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malkia Elizabeth ameadhimisha miaka 89

Malkia wa Elizabeth wa Uingereza ameadhimisha miaka 89 tangu kuzaliwa kwake.Jamii yake ilihudhuria pamoja na kitukuu chake George

 

9 years ago

BBCSwahili

Enzi ya Malkia Elizabeth ya miaka 63 !

Malkia Elizabeth wa Uingereza ametimiza miaka 63 katika enzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Malkia Elizabeth apata kitukuu chengine

Mke wa mrithi wa ufalme wa Uingereza Prince William amejifungua mtoto wa kike.

 

9 years ago

Habarileo

Malkia Elizabeth, Mfalme Akihito wampongeza JPM

RAIS John Magufuli ameendelea kupokea salamu za pongezi kutoka kwa viongozi mbalimbali duniani kutokana na kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, safari hii akiwamo Malkia Elizabeth II wa Uingereza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kodi ya faru wa msaada yamkera Malkia Elizabeth

MALKIA Elizabeth wa Uingereza na marafiki wa uhifadhi wametishia kusitisha misaada ya uhifadhi wa faru kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kutokana na Serikali ya Tanzania kutoza kodi faru waliotolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani