CCM BLOG YAMTAKIA HERI MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG yamtakia heri Mzee Pius Msekwa kwa kusherehekea kumbukizi ya Siku ya kuzaliwa kutimiza miaka 85 ya kuzaliwa kwake.
Pius Msekwa (alizaliwa Juni 9, 1935) ni ambapo mwaka 1995 hadi 2005 alikuwa spika wa Bunge Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa la Tanzania. Nyadhifa alizowahi kuwa nazo ni; Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) kati ya mwaka 1999-2002, pia Mjumbe wa Kamati ya Kurekebisha Sekta ya Sheria katiba ya mwaka 1993-1994 na Mjumbe wa Tume ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (amezaliwa 9 Juni 1935) ni mwanasiasa. Kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 alikuwa spika wa Bunge la Tanzani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka.
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
9 years ago
MichuziMICHUZI BLOG YAADHIMISHA MIAKA KUMI YA KUANZISHWA KWAKE
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) ATOA NENO KATIKA SIKU YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWASISI WA UUGUZI DUNIANI
Niwaase Wasanii na watu wengine maarufu kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya badala ya kuwatisha kuwa Wauguzi ni watu wabaya Kama alivyofanya msanii mmoja hivi alipomwambia mke wake wakati anaenda...
9 years ago
Michuzi19 Nov
MWANALIBENEKE YUSKISS KISIBA ATIMIZA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA KWAKE.
![](https://z-1-scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12188914_908189302590637_4467544765152985940_n.jpg?oh=bf2841db15114cd533970708dfbd4e90&oe=56F9860F)
Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media GroupTarehe kama ya leo (Nevemba 19) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa hivyo hii leo anafurahia siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na Marafiki. Nasi tunamtakia maisha mema katika kuzaliwa kwake.
"Novemba 19 ni tarehe ambayo Mwenyezi Mungu aliweza kuniruhusu kutoka katika tumbo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s72-c/IMG-20151228-WA0001.jpg)
Profesa Mark Mwandosya asherehekea kufikisha miaka 66 ya kuzaliwa kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s640/IMG-20151228-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QMYU62BnQ7k/VoFJWIK3Y_I/AAAAAAAIPCA/t73jCW9p-sQ/s640/IMG-20151228-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s72-c/1.jpg)
MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7ygtuCBTT0/U5SI69yCz2I/AAAAAAAFo6U/lwYX3BY4icI/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPnbcIoOIGg/U5SJHDUaWTI/AAAAAAAFo6c/ztWul9DPEsM/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jBd3GacvvLo/U5SFeqce3-I/AAAAAAAFo3M/GTac7NHGEK4/s1600/11.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...