MWANALIBENEKE YUSKISS KISIBA ATIMIZA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA KWAKE.
Anaitwa Yusuph Kisiba a.k.a Yuskiss Kisiba ambae ni Blogger @Lake Zone Media & Kisibasharesky Media, Graphics Desiner & Video Editor @Shafineys Film Production Jijini Mwanza.
Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media GroupTarehe kama ya leo (Nevemba 19) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa hivyo hii leo anafurahia siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na Marafiki. Nasi tunamtakia maisha mema katika kuzaliwa kwake.
"Novemba 19 ni tarehe ambayo Mwenyezi Mungu aliweza kuniruhusu kutoka katika tumbo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s72-c/IMG-20151228-WA0001.jpg)
Profesa Mark Mwandosya asherehekea kufikisha miaka 66 ya kuzaliwa kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptdiWgFuK8g/VoFJWGsxuBI/AAAAAAAIPCE/y6_eVEkSP4w/s640/IMG-20151228-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QMYU62BnQ7k/VoFJWIK3Y_I/AAAAAAAIPCA/t73jCW9p-sQ/s640/IMG-20151228-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s72-c/1.jpg)
MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0be0xI7K2A/U5SFSQE4eII/AAAAAAAFo28/ow_F96YWWyc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7ygtuCBTT0/U5SI69yCz2I/AAAAAAAFo6U/lwYX3BY4icI/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPnbcIoOIGg/U5SJHDUaWTI/AAAAAAAFo6c/ztWul9DPEsM/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jBd3GacvvLo/U5SFeqce3-I/AAAAAAAFo3M/GTac7NHGEK4/s1600/11.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA HERI MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (alizaliwa Juni 9, 1935) ni ambapo mwaka 1995 hadi 2005 alikuwa spika wa Bunge Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa la Tanzania.
10 years ago
Michuzi11 Jan
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
10 years ago
Michuzi24 Sep
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE FAUSTINE RUTA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/U7a8LhKRxp8Us6dmexBK8pLptfHCaZHnRZOcrqmJgFlXvvuVnkunZvcLi0bYHpD4VzvoEDavUhCnrhiVxxIZOYZIXIKYpG62Ldk1xCpFOBZd30RzTzcYEVUj-Z3aqCqa-2mjAZCkKAn1z4ohP7oQVxToTu6s376Q9ycbDH9HgXqeQ_rgipvQdo6-0KPIYN3oDcz49mPE1k2_dHRgPFFdqoB688jdkalnyqEeUbuyFgEYHQVMcYUH0PPT46zRxGzPOMUroSXnOvsocGvZdFa3qh-fLyfV13ZuPidDRYQzVRmDJxTvfOcj-xBvc1b6D40R_EZ9DS5IczPTCv6ZWlcEyhplcTswhYrzoIQM7HQDYtUSoHKGQgP3-GW5gOU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-3nFdxL19sts%2FVCJmdK8l5sI%2FAAAAAAAAXuw%2FpBsw2fNRXzQ%2Fs1600%2F1263011_579831398731680_1022212095_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Leo tarehe 24 mwezi wa tisa ni siku ya kuzaliwa kwa mpiganaji mwanalibeneke na mdau Faustine Ruta wa bukobasports.com.
"Namushukuru Mungu kwa Zawadi ya Uhai, afya njema na kunijalia Mpaka sasa hapa nilipo.Napenda kuwashuku sana wadau wangu wote tunaoshirikiana kila siku katika ujenzi wa Taifa katika kuhabarisha.
Pia natoa shukrani kubwa kwa wadau, Wanalibeneke wenzangu ndugu na marafiki wanao endelea kuniunga mkono." Asanteni sana !
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7CBYu-mVyc/U1iYvNQa4kI/AAAAAAAFcms/sdnwsTk0YHo/s72-c/unnamed+(88).jpg)
happy besdei ya kuzaliwa mwanalibeneke edwin moshi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7CBYu-mVyc/U1iYvNQa4kI/AAAAAAAFcms/sdnwsTk0YHo/s1600/unnamed+(88).jpg)
Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema. Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana Edwin Moshi, C.E.O Eddy Blog
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
10 years ago
Michuzi08 Dec
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE HENRY KAPINGA MMILIKI WA KAPINGAZ BLOG
![](https://2.bp.blogspot.com/-6OpDlHuPuVY/VITqHnyQ1wI/AAAAAAAAGUo/ynLTivyz_P4/s1600/KPBLOGPIC.jpg)
Leo tarehe 08/12 ndio siku ambayo ukurasa wa historia ya maisha yangu ulifunguliwa rasmi, ni siku ambayo nilizaliwa, napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniweka mpaka leo na vilevile kuwashukuru wazazi wangu kwa kunilea katika maisha yangu ya utotoni mpaka nilipoanza kujitegemea.
Napenda kuchukua fursa hii pia kuwashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kunisapoti kwa mambo mbalimbali ili mradi nifikie pale...