DARAJA LAKATIKA ENEO LA MAPINGA,BAGAMOYO - KAMANDA WA POLISI MKOA WA PWANI ATHIBITISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s72-c/IMG-20140412-WA0000.jpg)
Wakazi wa eneo la Mapingwa Mkoani Pwani wakiwa kwenye mshangao mkubwa baada ya kushindwa kuvuka Daraja la Mto unaokatisha kwenye eneo hilo baada ya kutokuwepo kwa mawasiliano ya barabara kwa kukatika kwa daraja hilo kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hivi sasa katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Akithibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,ACP Ulrich Matei amesema ni kweli kumetokea kwa tatizo hilo na amewataka watumiaji wa barabara ya Bagamoyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Daraja la Mapinga-Bunju lakatika
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea Mradi Mapinga Satellite wa UTT-PID uliopo Bagamoyo Mapinga
Diwani wa Kata ya Nachingwe, Lindi Mjini, Omary Chitanda (katikati) akiuliza swali kwa mtaalamu wa mradi huo.
*Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) ilianza kazi zake Julai 1, 2013. Taasisi hii ilirithi kazi za miradi zilizokuwa zinafanywa na Taasisi mama yaani UTT.
Andrew Chale wa Mo dewji blog aliyekuwa Bagamoyo
Baadhi ya Madiwani wa Manispaa ya Lindi Machi 17, wametembelea miradi mbali mbali ya UTT-PID iliyopo Dar es Salaam ikiwemo ule wa Bagamoyo wa New Mapinga...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_mdL3HeaGQ/Uu85GuLfqYI/AAAAAAAFKf4/Zj1mZLK3swc/s72-c/unnamed+(16).jpg)
CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) KUANZA KUJENGA ENEO LA MSATA BAGAMOYO PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_mdL3HeaGQ/Uu85GuLfqYI/AAAAAAAFKf4/Zj1mZLK3swc/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2VUFdQ-FN58/VPqdUQfF4cI/AAAAAAAHIew/8_B0Or_-tbA/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Eneo linauzwa Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VUFdQ-FN58/VPqdUQfF4cI/AAAAAAAHIew/8_B0Or_-tbA/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fnvFbmXX3K0/VPqdUX4V_wI/AAAAAAAHIe4/oBXfEe7BURI/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Eq92m0vE-Wg/VPqdUjd0pGI/AAAAAAAHIe0/TMWahUrUB-Y/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YGA0dXU5ozU/VN2x-FYj-pI/AAAAAAAHDbA/BTt13hiYQIE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
kwanja kinauzwa kiharaka, bagamoyo, mkoa wa pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-YGA0dXU5ozU/VN2x-FYj-pI/AAAAAAAHDbA/BTt13hiYQIE/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xT1EvGewNUA/VN2x-IQvLSI/AAAAAAAHDbE/AIkdHgRIkW4/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DARAJA LA MATUMBI TABATA LAKATIKA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yohAQB6kBds/UytdMjP05UI/AAAAAAAFVSc/nz68yZTcMfM/s1600/unnamed+(55).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4GVRTKCtwE/ViVV9VFF4NI/AAAAAAAIBAc/UEEBgcM3w3w/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
JK azindua Mradi wa Kusaga Kototo Pongwe Msungura, Bagamoyo mkoa wa Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4GVRTKCtwE/ViVV9VFF4NI/AAAAAAAIBAc/UEEBgcM3w3w/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10