Daraja la Mapinga-Bunju lakatika
Daraja linalounganisha barabara ya Bagamoyo na Dar es Salaam katika maeneo ya Mapinga na Bunju, limekatika hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano ya usafiri kwa watu wanaokwenda na kutoka mikoa ya Kaskazini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s72-c/IMG-20140412-WA0000.jpg)
DARAJA LAKATIKA ENEO LA MAPINGA,BAGAMOYO - KAMANDA WA POLISI MKOA WA PWANI ATHIBITISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s1600/IMG-20140412-WA0000.jpg)
Akithibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,ACP Ulrich Matei amesema ni kweli kumetokea kwa tatizo hilo na amewataka watumiaji wa barabara ya Bagamoyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DARAJA LA MATUMBI TABATA LAKATIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asyFi50DvRmnlZin6PjRdj6lslnSnOLjALPWFf2rlz6q6QmQ6fTDe77nXHCW909MDu4uZKWS0Nr4WlV9hpGGw4h/mvuaku9.jpg)
MAAFA YA MVUA DAR: DARAJA LA MBAGALA-KONGOWE NALO LAKATIKA
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea Mradi Mapinga Satellite wa UTT-PID uliopo Bagamoyo Mapinga
Diwani wa Kata ya Nachingwe, Lindi Mjini, Omary Chitanda (katikati) akiuliza swali kwa mtaalamu wa mradi huo.
*Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) ilianza kazi zake Julai 1, 2013. Taasisi hii ilirithi kazi za miradi zilizokuwa zinafanywa na Taasisi mama yaani UTT.
Andrew Chale wa Mo dewji blog aliyekuwa Bagamoyo
Baadhi ya Madiwani wa Manispaa ya Lindi Machi 17, wametembelea miradi mbali mbali ya UTT-PID iliyopo Dar es Salaam ikiwemo ule wa Bagamoyo wa New Mapinga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q1ES-bcIUXY/XnoJFZ7_RhI/AAAAAAAC8vk/3gyG2lkaDNQN5wly7n8Pf32EuhGV-EJJwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0038.jpg)
SHULE YA SEK MAPINGA YAONDOKANA NA UKOSEFU WA MAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q1ES-bcIUXY/XnoJFZ7_RhI/AAAAAAAC8vk/3gyG2lkaDNQN5wly7n8Pf32EuhGV-EJJwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0038.jpg)
WANAFUNZI 320 wa shule ya sekondari ya Kata ya Mapinga wameondokana na kero ya ukosefu wa maji uliokuwa ukiwakabili,baada ya taasisi ya It’s Time To Help Foundation Tanzania ikishirikiana na Feza Schools Tanzania kutekeleza mradi wa uchimbaji kisima kilichogharimu mil.12.
Ofisa Uhusiano wa Taasisi hiyo, Mbwana Kitendo akizungumza kwenye makabidhiano ya mradi huo alisema, taasisi hiyo ina utaratibu wa kutoa misaada kwa jamii katika sekta za afya, elimu na ustawi wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Ziara ya Madiwani wa Manispaa ya Lindi walipotembelea Mradi wa Mapinga wa UTT-OID
Diwani wa Kata ya Nachingwe, Lindi Mjini, Omary Chitanda (katikati) akiuliza swali kwa mtaalamu wa mradi huo.
Diwani wa Kata ya Nachingwea, Manispaa ya Lindi, Omari Chitanda akielezea namna alivyojifunza kwenye mradi huo kwa wandishi wa habari (hawapo pichani).
Madiwani na maofisa kutoka UTT-PID wakifuatilia kwa makini maelezo ya msimamizi wa mradi huo wa Mapinga uliochini ya UTT-PID (Hayupo pichani).
Madiwani wa Lindi wakijadili jambo.
10 years ago
Vijimambo19 Mar
MADIWANI WA MANISPAA YA LINDI WATEMBELEA MRADI MAPINGA SATELLITE WA UTT-PID ULIOPO BAGAMOYO
![Diwani wa Kata ya Nachingwe, Lindi Mjini, Omary Chitanda (katikati) akiuliza swali kwa mtaalamu wa mradi huo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Diwani-wa-Kata-ya-Nachingwe-Lindi-Mjini-Omary-Chitanda-katikati-akiuliza-swali-kwa-mtaalamu-wa-mradi-huo.jpg)
Diwani wa Kata ya Nachingwe, Lindi Mjini, Omary Chitanda (katikati) akiuliza swali kwa mtaalamu wa mradi huo.
![Diwani wa Kata ya Nachingwea, Manispaa ya Lindi, Omari Chitanda akielezea namna alivyojifunza kwenye mradi huo kwa wandishi wa habari (hawapo pichani)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Diwani-wa-Kata-ya-Nachingwea-Manispaa-ya-Lindi-Omari-Chitanda-akielezea-namna-alivyojifunza-kwenye-mradi-huo-kwa-wandishi-wa-habari-hawapo-pichani.jpg)
![Madiwani na maofisa kutoka UTT-PID wakifuatilia kwa makini maelezo ya msimamiz wa mradi huo wa Mapinga uliochini ya UTT-PID (Hayupo pichani](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Madiwani-na-maofisa-kutoka-UTT-PID-wakifuatilia-kwa-makini-maelezo-ya-msimamiz-wa-mradi-huo-wa-Mapinga-uliochini-ya-UTT-PID-Hayupo-pichani.jpg)
![DSCN9635](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9635.jpg)
![DSCN9651](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9651.jpg)
![DSCN9663](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9663.jpg)
![madiwani wa Lindi wakijadili jambo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/madiwani-wa-Lindi-wakijadili-jambo.jpg)
*Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID)...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OZEsYqejBEk/U7JkyCW-VQI/AAAAAAAFt4U/G2e18OYbw3I/s1600/unnamed+(23).jpg)