Eneo linauzwa Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani
.jpg)
Eneo lina ukubwa wa ekari 4 liko Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani. Ni karibu kabisa na barabarani. Linafaa kwa matumizi ya kituo cha mafuta au shughuli yoyote ya kibiashara, bei ni nafuu sana. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa number hii 0759085069.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA MLAMLENI, MKURANGA, MKOA WA PWANI

Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza...
10 years ago
Michuzi31 Mar
11 years ago
Michuzi
DARAJA LAKATIKA ENEO LA MAPINGA,BAGAMOYO - KAMANDA WA POLISI MKOA WA PWANI ATHIBITISHA

Akithibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,ACP Ulrich Matei amesema ni kweli kumetokea kwa tatizo hilo na amewataka watumiaji wa barabara ya Bagamoyo...
11 years ago
Michuzi
MAMLAKA YA USAFIRIWA ANGA TANZANIA (TCAA) WAPEWA ENEO LA KUJENGA CHUO CHAKE NA MKOA WA PWANI

9 years ago
Michuzi
ENEO LA HEKA 38 LENYE HATI LINAUZWA ARUSHA



10 years ago
Michuzi
Eneo Linauzwa Kimara Mwisho, Dar es salaam

Changamkia Fursa "Ardhi Ni Mali"Eneo Linauzwa Lipo Kimara Mwisho, Mita 300 Kutoka Morogoro Road Au Stendi Ya Mabisi Ya Mwendo Kasi, Eneo Lina Ukubwa Wa Heka Moja Na Lina
Nyumba Moja Ndogo Na Restaurant Ya Makuti... Linafaa Kwa Makazi Na Biashara.
Kwa Mnunuzi Piga Simu Nambari +255 757 343333 Au 786 582078.
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Ujenzi wa msikiti Kimbangulile, Mkuranga Pwani



Tunamshukuru Mungu kwa wale wote walio tuunga mkono katika harakati hizi Mungu awabariki.
Zaidi pia Mungu awabariki waendeshaji wa blog hii ya Jamii kwa kutuunga mkono katika kupeleka habari kwa Jamii na kutuunga mkono katika harakati zetu.
Ndugu zangu Wapendwa Michango tuliyo kusanya toka mwanzo Program PROJECT zetu za kheri hizi ni Tshs 6,000,000...
10 years ago
Michuzi
UJENZI WA MSIKITI KIMBANGULILE , MKURANGA PWANI



Zaidi pia Mungu awabariki waendeshaji wa blog hii ya Jamii kwa kutuunga mkono katika kupeleka habari kwa Jamii na kutuunga mkono katika harakati zetu.
Ndugu zangu Wapendwa Michango tuliyo kusanya toka mwanzo Program PROJECT zetu za kheri hizi ni Tshs 6,000,000 (...
10 years ago
Michuzi
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI




TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...