Ujenzi wa msikiti Kimbangulile, Mkuranga Pwani
Msikiti mpya wa Kitongoji cha Kimbangulile, Mkuranga Pwani.
Msikiti wa zamani wa Kitongoji cha Kimbangulile Wilaya ya Mkuranga mkoni Pwani.
Tunamshukuru Mungu kwa wale wote walio tuunga mkono katika harakati hizi Mungu awabariki.
Zaidi pia Mungu awabariki waendeshaji wa blog hii ya Jamii kwa kutuunga mkono katika kupeleka habari kwa Jamii na kutuunga mkono katika harakati zetu.
Ndugu zangu Wapendwa Michango tuliyo kusanya toka mwanzo Program PROJECT zetu za kheri hizi ni Tshs 6,000,000...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YmRBod43yWc/Vg4ei7xX2xI/AAAAAAAAheQ/OaOkpAvzxtE/s72-c/IMG-20151002-WA0026.jpg)
UJENZI WA MSIKITI KIMBANGULILE , MKURANGA PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YmRBod43yWc/Vg4ei7xX2xI/AAAAAAAAheQ/OaOkpAvzxtE/s640/IMG-20151002-WA0026.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0U46T_rjl5c/Vg4emneMFfI/AAAAAAAAheY/_hNJi5WDDZ0/s640/IMG-20151002-WA0024.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-De1Zc1RkyMA/Vg4eqg3wJQI/AAAAAAAAheg/qRUJf6DSQoA/s640/IMG-20151002-WA0027.jpg)
Zaidi pia Mungu awabariki waendeshaji wa blog hii ya Jamii kwa kutuunga mkono katika kupeleka habari kwa Jamii na kutuunga mkono katika harakati zetu.
Ndugu zangu Wapendwa Michango tuliyo kusanya toka mwanzo Program PROJECT zetu za kheri hizi ni Tshs 6,000,000 (...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s72-c/4.jpg)
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AOHP80hrTZ0/VaZw1Sd_-RI/AAAAAAAAfRE/HVBs313oB0M/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-udTwNvoBskk/VaZwtyMGESI/AAAAAAAAfQ0/LDtaR956Vyg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyqIn18Rwpk/VaZw0slLC8I/AAAAAAAAfQ8/JAvyl1wMz7g/s640/3.jpg)
TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA MLAMLENI, MKURANGA, MKOA WA PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2VUFdQ-FN58/VPqdUQfF4cI/AAAAAAAHIew/8_B0Or_-tbA/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Eneo linauzwa Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VUFdQ-FN58/VPqdUQfF4cI/AAAAAAAHIew/8_B0Or_-tbA/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fnvFbmXX3K0/VPqdUX4V_wI/AAAAAAAHIe4/oBXfEe7BURI/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Eq92m0vE-Wg/VPqdUjd0pGI/AAAAAAAHIe0/TMWahUrUB-Y/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-09C2HfNa7MI/Vlrm4FwmOrI/AAAAAAAII_k/HbxChilFEjY/s72-c/8dd172c3-aef3-4cc7-a8d8-4b88f56ba413.jpg)
HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s72-c/20150531233304.jpg)
TAARIFA YA MAKUSANYO UJENZI YA MSIKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s640/20150531233304.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5A1D3Lkq088/VWv-lZr5p8I/AAAAAAAAd1k/A4gmT2Er0KM/s640/20150531233316.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sp8kBA3Kn4M/VWv-lng6YfI/AAAAAAAAd1o/muubHoNuWDM/s640/20150531233204.jpg)
Nakushukuru BLOGS ZOTE ZA TANZANIA shukran za Pekee kwa Brother Mroki Mroki wa Father Kidevu Blog kwa kuwa Balozi Mzuri wa kulitangaza Jambo hili kwa Jamii pamoja na Blogs nyingi Marafiki wa Father Kidevu Blog. Leo Tarehe 30/5/2015 NAOMBA NIULETE MREJESHO HUU KWENU WA MAKUSANYO TOKA TAREHE...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F1E8ITcO6-c/VWVev0Ku4EI/AAAAAAAAdto/VU5xnFuAX7A/s72-c/20150526230411.jpg)
MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-F1E8ITcO6-c/VWVev0Ku4EI/AAAAAAAAdto/VU5xnFuAX7A/s640/20150526230411.jpg)
Katika Nyumba (Msikiti) huu , Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile.
Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao Ujenzi wa Msikiti kama Mnavyo uona.Jitihada nyengine wameweza kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Taarifa ya makusanyo ya ujenzi wa Msikiti
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s640/20150531233304.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5A1D3Lkq088/VWv-lZr5p8I/AAAAAAAAd1k/A4gmT2Er0KM/s640/20150531233316.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sp8kBA3Kn4M/VWv-lng6YfI/AAAAAAAAd1o/muubHoNuWDM/s640/20150531233204.jpg)
Kwa Jina la M/Mungu nina anza Andika , Nawashukuru Ndugu zangu WA TANZANIA ,KENYA na wasio kuwa hao kwa Upamoja wao wa Michango yao ya hali na Mali katika Kuimarisha UJENZI WA MSIKITI UNAONA KATIKA PICHA .
Nakushukuru BLOGS ZOTE ZA TANZANIA shukran za Pekee kwa Brother Mroki Mroki wa Father Kidevu Blog kwa kuwa Balozi Mzuri wa kulitangaza Jambo hili kwa Jamii pamoja na Blogs nyingi Marafiki wa Father Kidevu Blog. Leo Tarehe 30/5/2015 NAOMBA NIULETE MREJESHO HUU KWENU WA MAKUSANYO TOKA...
9 years ago
MichuziTPDC yachangia ujenzi wa kisima cha maji Mkuranga