ALICHOKISEMA KAMISHNA SULEIMAN KOVA KUFUATIA KUUWAWA KWA ASKARI POLISI WAWILI NA KUPORWA SILAHA HUKO MKURANGA MKOA WA PWANI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLASKARI WALIOUAWA, KUPORWA SILAHA PWANI WAAGWA DAR
Mwili wa SCT Francis ukiingizwa katika bwalo la polisi Barabara ya Kilwa kwa ajili ya kuagwa. Mwili wa CPL Michael nao ukipelekwa kwa ajili ya kuagwa. Mke wa marehemu Michael (katikati) akilia kwa uchungu.…
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziKAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam,Kamishna Suleiman Kova akifurahi jambo wakati akizungumza na Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar,wakati alipowapokea leo Desemba 4,2014 katika Kituo cha Kati cha Polisi,Jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Kanda...
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA RUVUMA LAWASHIKILIA ASKARI WAKE WAWILI
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela --------------------------------------------------Na Nathan Mtega,Songea
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma mjini Songea.
Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini...
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma mjini Songea.
Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini...
10 years ago
GPLKITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
WATU wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam, jana usiku na kuua askari na raia kisha kupora silaha. Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza...
11 years ago
MichuziMADEREVA WAWILI WASHIKILIWA KWA VIFO MKOA WA PWANI
Na John Gagarini, Kibaha
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia dereva Frank Chabayanga (39) mkazi wa Morogoro wa basi la kampuni ya BM kwa tuhuma za kumgonga mtembea kwa miguu na kusababisha kifo chake. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ulrich Matei (pichani) amesema kuwa tukio hilo limetokea Mei 20 mwaka huu majira ya saa 3:30 Usiku eneo la Kwa Mbonde wilayani Kibaha katika barabara kuu ya Dar es Salaam Morogoro. Kamanda Matei...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Kamishna Kova: Polisi tumejipanga kusimamia uchaguzi
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema halitawaonea haya wale wote watakaosababisha kwa namna moja ama nyingine kuharibika tena kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kurudiwa kesho katika baadhi ya maeneo
10 years ago
MichuziEneo linauzwa Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani
Eneo lina ukubwa wa ekari 4 liko Mkuranga, Dundani, Mkoa wa Pwani. Ni karibu kabisa na barabarani. Linafaa kwa matumizi ya kituo cha mafuta au shughuli yoyote ya kibiashara, bei ni nafuu sana. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa number hii 0759085069.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania