Kamishna Kova: Polisi tumejipanga kusimamia uchaguzi
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema halitawaonea haya wale wote watakaosababisha kwa namna moja ama nyingine kuharibika tena kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kurudiwa kesho katika baadhi ya maeneo
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oK8uifLckp8/VdM-HsnmoOI/AAAAAAAHyBw/HFp5V1B6Myc/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
UZINDUZI WA MASHINDANO YA POLISI JAMII KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM - KAMISHNA KOVA CUP KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-oK8uifLckp8/VdM-HsnmoOI/AAAAAAAHyBw/HFp5V1B6Myc/s1600/images%2B%25281%2529.jpg)
Madhumini ya mashindano haya ni ni Kuwaunganisha wananchi wenye itikadi mbalimbali ili kupitia mashindano haya watakaoshiriki watajifunza masuala ya usalama, uzalendo na kuzingatia utaifa kwa madhumuni ya kuwashirikisha kikamilifu katika ulinzi wa nchi na kudumisha amani ...
10 years ago
Michuzi31 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s72-c/unnamed.jpg)
KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KwGUABda70o/VICFgo2WBvI/AAAAAAAG1TQ/I6Y7Kk1iem8/s1600/unnamedc1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HseiQHfLehw/VICFgZEJD-I/AAAAAAAG1TU/0ft8cGz3xzU/s1600/unnamedc.jpg)
10 years ago
GPLTAARIFA YA KAMISHNA KOVA KWA WANANCHI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
10 years ago
GPLKAMISHNA KOVA AZINDUA KITUO CHAPOLISI VINGUNGUTI
11 years ago
Habarileo27 Jun
Lipumba: Tumejipanga kushinda Uchaguzi Mkuu
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye juzi usiku aliibuka mshindi na kuendelea kutetea nafasi yake hiyo ndani ya chama, amesema chama kimeweka nguvu mpya ili kuhakikisha kinashinda uchaguzi mkuu nchini ujao.
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU
11 years ago
30 Dec
Raisi Kikwete amteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 |
PRESIDENT’S OFFICE, |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa ...