kwanja kinauzwa kiharaka, bagamoyo, mkoa wa pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-YGA0dXU5ozU/VN2x-FYj-pI/AAAAAAAHDbA/BTt13hiYQIE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Kiwanja kina ukubwa wa 7,720 sqm ( Zaidi ya acre moja na nusu), Kipo Kiharaka, Bagamoyo umbali wa kama 5km kutoka baharini. Kina ardhi nzuri yenye rutuba, kipo tambalale. Kipo karibu na mradi mpya wa kumbi za mikutano na pia karibu na kivuko kipya cha Bagamoyo kwenda Posta. Nguzo za umeme na maji ya dawasco yako karibu. Bei ya kiwanja ni Tshs 395,000,000/=. Hati miliki itashughulikiwa kwa makubaliano maalum kati ya muuzaji na mnunuzi. kwa mawasiliano zaidi piga number 0766 333 700.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4GVRTKCtwE/ViVV9VFF4NI/AAAAAAAIBAc/UEEBgcM3w3w/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
JK azindua Mradi wa Kusaga Kototo Pongwe Msungura, Bagamoyo mkoa wa Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4GVRTKCtwE/ViVV9VFF4NI/AAAAAAAIBAc/UEEBgcM3w3w/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s72-c/IMG-20140412-WA0000.jpg)
DARAJA LAKATIKA ENEO LA MAPINGA,BAGAMOYO - KAMANDA WA POLISI MKOA WA PWANI ATHIBITISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSKWGk_Ka1I/U0knYi1eXFI/AAAAAAAFaO4/A1AN4D3jnQU/s1600/IMG-20140412-WA0000.jpg)
Akithibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,ACP Ulrich Matei amesema ni kweli kumetokea kwa tatizo hilo na amewataka watumiaji wa barabara ya Bagamoyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCC3UkZfemYHpExIt*rC0HKormUV*PKV7xG1-ouHYcF-1zo5nqs7WCP2RlQgFrTgDs*hi9HEASIT6nNywSnx0*XQmC5HnCer/Kiwanjakinauzwa.jpg?width=650)
KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s72-c/unnamed+(62).jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI BI. MWANTUMU MAHIZA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA UCHUKUZI MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYrqoN3QZnQ/U2ARWxmrwaI/AAAAAAAFeEA/SUiW405HDrE/s1600/unnamed+(63).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s640/_MG_5681.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_q9I0wzUlw/Vh1TgQ5RcJI/AAAAAAADA18/aiisUZueSJ4/s640/_MG_5729.jpg)
10 years ago
GPLAJALI MBILI ZATOKEA WILAYA YA BAGAMOYO, PWANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ciywewNmzfo/XnVU8uKgzQI/AAAAAAALklk/nG3lxTS7miQyKwpOvhT8GFVXFOgBqnEJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 51 TOKA ETHIOPIA WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NuX3TFUlpjE/XnWq4LxCXBI/AAAAAAALkmU/55_g28YjvKc4HGXcykWXKOtUYkGS6SumQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU WAPATAO 51 WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI,WAPIMWA CORONA
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s72-c/1-5-768x432.jpg)
RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s640/1-5-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-5-1024x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...