Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG



Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Hoja za CAG zawaweka matatani watumishi watatu wa Halmashauri

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Nkasi kuwakamata watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa kula fedha zilizotokana na makusanyo ya Halmashauri na kujikopesha bila ya kuziwasilisha Benki na hatimae kuendelea kuibua hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG).

Mh. Wangabo ameipa TAKUKURU siku saba kuhakikisha watumishi hao waliokula kiasi cha Shilingi 27,674,300/= wanarudisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa atoa siku saba kwa H/Monduli

Monduli. Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameipa wiki moja Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kuzipatia ardhi kaya 63 za Kijiji cha Nanja, ambazo zimetakiwa kupisha eneo la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani hapa.

 

9 years ago

Mwananchi

DC atoa siku saba kwa Ushirika Mpanda kati

Serikali wilayani Mpanda umeagiza kuitishwa kwa mkutano mkuu wa wakulima wa Chama Kikuu cha Msingi cha Wakulima wa Tumbaku cha Mpanda Kati ili kujadili madai ya malipo ya wakulima hao.

 

9 years ago

StarTV

Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter  Muhongo  ametoa siku saba kwa  shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.

Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya  ukosefu wa umeme...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI YALIYOFANYIKA BAGAMOYO, MKOANI PWANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Bw. Keneth Kaseke, Kamishna wa Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya, kwenye maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani Ijumaa. Kushoto ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Suleiman Rashid na wa Pili Kulia ni Dkt Bwijo Bwijo wa UNDP.Rais Kikwete na meza ku wakipokea Maandamano kwenye maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani mjini Bagamoyo mkoa wa...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi  Humphrey Polepole,  akieleza yaliyojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, kilichofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Polepole alitoa maelezo hayo wakati wa Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Waandishi wa habari.







Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli atoa siku saba kwa wafanyabiashara wakwepaji kodi

Rais John Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi kwa namna yoyote ile kuhakikisha wamelipa malimbikizo yao ndani ya siku hizo badala ya kuendelea kuficha makontena.

Amesema baada ya siku hizo saba kuisha, wafanyabiashara watakaokamatwa hawajalipa kodi kwa mujibu wa taratibu watachukuliwa hatua za kisheria ili kukomesha vitendo hivyo kwa manufaa ya Taifa.

 Rais wa awamu ya Tano, Dkt John Magufuli ametoa wito kwa wafanyabiashara kutoka sekta binafsi na...

 

5 years ago

CCM Blog

RC HAPI:ATOA SIKU TATU UONGOZI WA SOKO MAFINGA KUBORESHA HUDUMA YA CHOO

Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akikagua miundombinu ya Soko Kuu la Mafinga wilaya ya Mufindi wakati wa ziara ya Iringa mpya awamu ya pili.  Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akikagua miundombinu ya soko kuu la Mafinga wilaya ya Mufindi wakati wa ziara ya Iringa mpya awamu ya pili akiwa na viongozi wa mkoa wa Iringa na wilaya ya Mufindi
NA FREDY MGUNDA,MAFINGA.  WAFANYABIASHA wa soko kuu la Mafinga mkoani Iringa wamelalamikia kukosekana kwa huduma bora ya choo kwa kuwa inahatarisha afya za...

 

5 years ago

Michuzi

DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET



Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Afisa elimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani