Hoja za CAG zawaweka matatani watumishi watatu wa Halmashauri
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Nkasi kuwakamata watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa kula fedha zilizotokana na makusanyo ya Halmashauri na kujikopesha bila ya kuziwasilisha Benki na hatimae kuendelea kuibua hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG).
Mh. Wangabo ameipa TAKUKURU siku saba kuhakikisha watumishi hao waliokula kiasi cha Shilingi 27,674,300/= wanarudisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.
Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s72-c/1-5-768x432.jpg)
RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s640/1-5-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-5-1024x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Bangi yawatia matatani watatu
WAFANYABIASHARA watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kwa kosa la kukutwa na bangi. Washitakiwa hao ni Abed Khamis (28), Yahaya Milaji (18) na Athumani Hasani (46) ambao walisomewa mashitaka yao jana mbele ya Hakimu Mkazi Christina Lugulu.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Watumishi 11 vitengo dawa za kulevya matatani
WATUMISHI 11 wa vitengo vya kuthibiti dawa za kulevya wamekamatwa ama kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya kati ya mwaka 2012 na 2013. Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Halmashauri Arusha yafukuza watatu
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU TEMESA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 780 zinazotokana na zabuni.
Vile vile, Waziri Mkuu ametoa muda wa miezi miwili kwa taasisi zote za Serikali zinazodaiwa na TEMESA kiasi cha sh. bilioni 25.88 ziwe zimeshalipa na iwapo kuna taasisi itashindwa kulipa deni lake hadi Julai 30,...
9 years ago
StarTV07 Jan
Watumishi 9 Halmashauri ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi
Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kigoma imewasimimisha kazi watumishi tisa wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji ili kupitisha uchunguzi zaidi juu ya tuhuma za ubadhilifu wa fedha unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya manispaa hiyo na kuisababishia manispaa hiyo kupata hasara ya mamilioni ya fedha.
Kusimamishwa kwa watumishi hao kunakuja ikiwa ni takribabi wiki moja tangu waziri mkuu Kasimu Majaliwa alipokuwa mkoani kigoma kumueleza katibu tawala wa mkoa huo ...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Waziri Mkuu awasimamisha kazi watumishi wengine watatu TRA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s72-c/kassim.jpg)
NEWS ALERT: WATUMISHI WENGINE WATATU WASIMAMISHWA KAZI TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s400/kassim.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo (Jumamosi, Novemba 28, 2015), na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili. Kama ilivyo kwa wenzao sita waliosimamishwa kazi jana (akiwemo aliyekuwa Kamishna Mkuu), nao pia hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje...