Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja za CAG zawaweka matatani watumishi watatu wa Halmashauri

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Nkasi kuwakamata watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa kula fedha zilizotokana na makusanyo ya Halmashauri na kujikopesha bila ya kuziwasilisha Benki na hatimae kuendelea kuibua hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG).

Mh. Wangabo ameipa TAKUKURU siku saba kuhakikisha watumishi hao waliokula kiasi cha Shilingi 27,674,300/= wanarudisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI

  KATIBU Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Jumanne Sagini, ameutaka uongozi wa Halmashuari ya Wilaya ya Itilima mkoani humo kuwachukulia hatua za kisheria watu wote waliosababisha uwepo wa hoja 36 katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.

Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...

 

5 years ago

Michuzi

RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG



Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...

 

10 years ago

Habarileo

Bangi yawatia matatani watatu

WAFANYABIASHARA watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kwa kosa la kukutwa na bangi. Washitakiwa hao ni Abed Khamis (28), Yahaya Milaji (18) na Athumani Hasani (46) ambao walisomewa mashitaka yao jana mbele ya Hakimu Mkazi Christina Lugulu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi 11 vitengo dawa za kulevya matatani

WATUMISHI 11 wa vitengo vya kuthibiti dawa za kulevya wamekamatwa ama kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya kati ya mwaka 2012 na 2013. Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri Arusha yafukuza watatu

Halmashauri ya Arusha Vijijini, wilayani Arumeru imewafukuza kazi watumishi wake watatu na mwingine mmoja akishushwa cheo kutokana na matumizi mabaya ya fedha za halmashauri hiyo na kuiingizia hasara ya mamilioni.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU TEMESA

* Atoa onyo kwa Mtendaji Mkuu wa TEMESA* Taasisi za Serikali zapewa miezi miwili kulipa deni la sh. bil 25

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 780 zinazotokana na zabuni.
Vile vile, Waziri Mkuu ametoa muda wa miezi miwili kwa taasisi zote za Serikali zinazodaiwa na TEMESA kiasi cha sh. bilioni 25.88 ziwe zimeshalipa na iwapo kuna taasisi itashindwa kulipa deni lake hadi Julai 30,...

 

9 years ago

StarTV

Watumishi 9 Halmashauri ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi

Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kigoma   imewasimimisha kazi watumishi tisa wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji ili  kupitisha uchunguzi zaidi juu ya tuhuma  za ubadhilifu wa fedha   unaohusisha  uuzwaji   wa jengo la KIGODECO   na viwanja 12 vya manispaa hiyo  na  kuisababishia manispaa hiyo kupata hasara ya mamilioni ya fedha.

Kusimamishwa kwa watumishi hao kunakuja ikiwa ni takribabi wiki moja tangu waziri mkuu Kasimu Majaliwa alipokuwa  mkoani kigoma kumueleza katibu tawala wa mkoa huo ...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuu awasimamisha kazi watumishi wengine watatu TRA

Kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano, imeendelea kuwasomba watendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baada ya jana Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa kuwasimamisha kazi wengine watatu na kufanya jumla ya waliosimamishwa kuwa tisa.

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATUMISHI WENGINE WATATU WASIMAMISHWA KAZI TRA

SERIKALI imewasimamisha kazi watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambao jana iliamriwa kwamba watahamishiwa mikoani. Watumishi hao ni Bw. Anangisye Mtafya, Bw. Nsajigwa Mwandengele na Bw. Robert Nyoni.
Uamuzi huo umetolewa leo (Jumamosi, Novemba 28, 2015), na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili. Kama ilivyo kwa wenzao sita waliosimamishwa kazi jana (akiwemo aliyekuwa Kamishna Mkuu), nao pia hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani