WAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU TEMESA
* Atoa onyo kwa Mtendaji Mkuu wa TEMESA* Taasisi za Serikali zapewa miezi miwili kulipa deni la sh. bil 25
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 780 zinazotokana na zabuni.
Vile vile, Waziri Mkuu ametoa muda wa miezi miwili kwa taasisi zote za Serikali zinazodaiwa na TEMESA kiasi cha sh. bilioni 25.88 ziwe zimeshalipa na iwapo kuna taasisi itashindwa kulipa deni lake hadi Julai 30,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Waziri Mkuu awasimamisha kazi watumishi wengine watatu TRA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-62bVmKZQx40/VSUuzlVsAPI/AAAAAAAHPnU/WrJL2WJrZLw/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
Waziri Wasira awasimamisha kazi watendaji watatu wa RUBADA
Akitoa agizo hilo leo mbele ya Waandishi wa Habari, Waziri Wasira aliwataja Watendaji hao kuwa ni Bwana Aloyce L. Masanja – Kaimu Mkurugenzi Mkuu; Bibi Tabu Ndatulu – Mkurugenzi wa...
9 years ago
StarTV28 Nov
Waziri mkuu awasimamisha kazi vigogo wa TRA
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa nchini Tiagi Masamaki na Habibu Mponezya wa kituo cha huduma kwa wateja na kumwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kuhakikisha wote wanakamatwa.
Wengine ni Eliachi Mrema Msimamizi mkuu wa Bandari kavu Dar Es Salaam, Haruni Mpande wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Hamisi Omar ambapo watumishi wengine Nsajigwa Mwandegele, Robert Nyoni na Anengisye Mtafya...
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Maghembe awasimamisha kazi Mkurugenzi, maafisa
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Misitu Tanzania TFS Mohammed Kilongo pamoja na maafisa wa misitu wa Mikoa yote nchini kupisha uchunguzi wa ubadhirifu ulioonekana ili ufanyiwe kazi.
Hata hivyo, Waziri huyo pia ametoa siku saba kwa Idara ya Misitu kurudi katika Jengo la Wizara hiyo kwa lengo la kupunguza matumizi mabaya ya fedha za Serikali na kukemea tabia ya kupanga...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s72-c/kassim.jpg)
NEWS ALERT: WATUMISHI WENGINE WATATU WASIMAMISHWA KAZI TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s400/kassim.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo (Jumamosi, Novemba 28, 2015), na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili. Kama ilivyo kwa wenzao sita waliosimamishwa kazi jana (akiwemo aliyekuwa Kamishna Mkuu), nao pia hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
10 years ago
StarTV08 Jan
Umaskini watumishi wa TEMESA wachangia wizi wa mafuta.
Na Rogers Wilium,
Mwanza.
Waziri wa Ujenzi Dokta John Magufuli amesema umaskini miongoni mwa watumishi wa wakala wa ufundi na umeme TEMESA unawafanya kuwa wezi wa mafuta ya feri na fedha za ushuru nchini.
Kauli hiyo imekuja baada ya Waziri Magufuli kuzindua mfumo wa kielekriniki wa ukatishaji tikiti katika Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza mfumo ambapo umeongeza mapato kwa zaidi ya asilimia 40.
Moja ya vivuko vikongwe nchini Tanzania ni Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s72-c/C1-1.jpg)
WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s640/C1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/D1-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/B1-1.jpg)
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...