CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Jumanne Sagini, ameutaka uongozi wa Halmashuari ya Wilaya ya Itilima mkoani humo kuwachukulia hatua za kisheria watu wote waliosababisha uwepo wa hoja 36 katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.
Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziHoja za CAG zawaweka matatani watumishi watatu wa Halmashauri
Mh. Wangabo ameipa TAKUKURU siku saba kuhakikisha watumishi hao waliokula kiasi cha Shilingi 27,674,300/= wanarudisha...
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Makonda awaweka rumande maofisa ardhi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, jana aliwaweka ndani maofisa ardhi zaidi ya 10 kwa saa sita.
Imeelezwa kuwa Makonda alifanya hivyo kwa kile kilichoelezwa kukaidi agizo lake la kuwataka wawahi katika eneo la mkutano kusikiliza migogoro ya ardhi.
Tukio hilo lilitokea katika eneo la Nakasangawe Kata ya Wazo, Dar es Salaam, baada ya maofisa hao kuchelewa kufika tofauti na walivyotakiwa.
Makonda alisema walikubalina kuwahi katika kikao cha...
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Waziri Mkuu awaweka matatani viongozi wa mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa mkoa wa Kigoma kwenye ukumbi wa NSSF katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, mkoani Kigoma imewaacha matatani baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kubaini uuzwaji wa majengo ya halmashauri kinyume na...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s72-c/blatter.jpg)
SEPP BLATTER NA MAOFISA SABA WA FIFA MATATANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s400/blatter.jpg)
Rais huyo ambaye alipewa madaraka ya kuongoza Shirikisho hilo siku chache zilizopita ikiwa ni awamu ya tano, kingine kilichochukua Headlines kwa sasa ni ishu ya Sepp Blatter kufanyiwa uchunguzi na maafisa wa Marekani ili kujua kama anahusika na tuhuma za rushwa ambazo zinawahusu maafisa wengine saba wa FIFA.Hata...
10 years ago
Habarileo31 Oct
Maofisa wa CAG watishiwa kifo
SAKATA la ubadhirifu wa bilioni 40 katika halmashauri ya jiji la Mwanza limechukua sura mpya baada ya maofisa wa ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) walioibua sakata hilo kudai kutishiwa maisha.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7aPiwHTe1z8/VlPsM6YCW8I/AAAAAAAAW5I/x9DvY8Qpv0k/s72-c/IMG_8948%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA MAOFISA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI KUZINGUMZIA JUU YA HOFU YA KIPINDUPINDU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7aPiwHTe1z8/VlPsM6YCW8I/AAAAAAAAW5I/x9DvY8Qpv0k/s640/IMG_8948%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RQPSHud7LMo/VlPsM6fKSkI/AAAAAAAAW5M/hFQieCiRMHI/s640/IMG_8950%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--CzsnBbLcNo/VlPsjU0XCoI/AAAAAAAAW6M/5PUHLoJE13A/s640/P1780647%2B%25281024x768%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s72-c/1-5-768x432.jpg)
RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s640/1-5-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-5-1024x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Mkwasa awaweka rumande watendaji
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Mbowe awaweka vijana mguu sawa
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawatokubali kukaa kimya na kuona Bunge Maalum la Katiba Mpya likiwa linaendelea hadi Oktoba 4. Mbowe alisema, endapo watapuuzwa...